Mpanda nyangobe
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 710
- 1,559
Hii binafsi nimeitafsiri kama dharau.
Haiwezekani album yenye nyimbo 16. Usishirikishe hata msanii mmoja wa kibongo kwenye album. Album imejaa wa Nigeria, Wakenya, wa Ghana na wa South. Ndio kusema Wabongo fleva hukuona hata mmoja wa kufanya naye collaboration.
All in all albamu imenikamata.
Haiwezekani album yenye nyimbo 16. Usishirikishe hata msanii mmoja wa kibongo kwenye album. Album imejaa wa Nigeria, Wakenya, wa Ghana na wa South. Ndio kusema Wabongo fleva hukuona hata mmoja wa kufanya naye collaboration.
All in all albamu imenikamata.