Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,607
- 93,403
Kwa hisani ya Mkuu Matola, nathibitisha kuwa amefikisha habari kwetu kutoa zawadi ya thamani ya shilingi elfu ishirini (20,000/-) kwa ajili ya mshindi atakaye bahatika post yake kuwa ya kwanza kuingia ukurasa wa 100 katika uzi huu.
Kwa taarifa zaidi wasiliana na Mkuu Matola ambaye ni mwandalizi wa zawadi hii. Zawadi hiyo itatolewa na Moderator wa JF.
Wasalaam!
Mshindi wa shindano hili ni Mkuu @geniveros ndiye aliweza kubahatika bandiko lake kuingia na kufungua ukurasa wa 100 wa mada hii hivyo kujipatia kifurushi cha thamani ya shilingi alfu ishirini (20,000/-) na amekiri kuwasiliana na Mkuu @Matola juu ya zawadi hiyo.
Pongezi kwa washiriki wote.
JF Team inashukuru kwa uwepo wenu.
Wasalaam!
Me navaa XXL....msinisahau
Umepata dada....chagua rangi.
Naomba rangi ya orange mdogo wangu
Umepata dada........!!!
Nani alimpa uking huyu dogo....!