mzaramo
JF-Expert Member
- Sep 4, 2006
- 6,371
- 5,174
Acha upuuzi kama unazungumzia brand toka enzi zile Gangwe Mob wana brand yao ya Gangwe Gear itakuwa enzi zile hukuwepo mjini basi unaona kila kitu kimeanzishwa na Baba ako DimondMmh kweli Diamond ndio mwalimu wa Alikiba. Daimond akifa lazima Ali Kiva naye afe maana Huyu ndio Idol. Lkn huu ushindani mzuri wa maendeleo wa kugeza mawazo ya wengine.