Kuna watu akili zao zina enda wapi sijui...
Yani RAIA wana shida chungu nzima wewe una enda kuomba kafilm??? Vitabu vilivyopo havitoshi???
Utumiaji mmbovu wa rasilimali pesa alafu zitengewe bajeti kutengeneza film...
"Mara nyingi sana nimesema nanyi juu ya UMASKINI, ujinga na maradhi, lakini kwa kweli adui yetu mkubwa ni UMASKINI. Tukiweza kumshinda adui huyu, tutakuwa tumeweza kupata silaha itakayotuwezesha kuushinda ujinga na maradhi." J.K.Nyere
Bado tu masikini hivyo tuna safari kuushinda ujinga na maradhi...