RUCCI
JF-Expert Member
- Oct 6, 2011
- 1,701
- 1,714
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji(EWURA) imetangaza bei mpya za bidhaa ya mafuta.
Bei ya Petroli imeongezeka kwa shilingi 33, Diesel imeongezeka kwa Shilingi 21 na mafuta ya taa yameongezeka kwa Shilingi 11.
Habari hii imetumika kwenye Kipindi cha JamiiLeo kinachorushwa kila siku jioni katika Channel ya JamiiForums kwenye mtandao wa YouTube.
Kuona kipindi hicho angalia video ifuatayo, acha maoni yako na kisha Subscribe kwenye Channel ya JamiiForums.
Bei ya Petroli imeongezeka kwa shilingi 33, Diesel imeongezeka kwa Shilingi 21 na mafuta ya taa yameongezeka kwa Shilingi 11.
Habari hii imetumika kwenye Kipindi cha JamiiLeo kinachorushwa kila siku jioni katika Channel ya JamiiForums kwenye mtandao wa YouTube.
Kuona kipindi hicho angalia video ifuatayo, acha maoni yako na kisha Subscribe kwenye Channel ya JamiiForums.