OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,713
FULL INTERVIEW ya Ally Kamwe akiongelea matatizo yake na Haji Manara na mambo mengine ipo kwenye YOUTUBE ya Valor TV @valortv_
Nenda kamsikilize huko utapata meeengi mazuri ya kujifunza kuhusu hawa Binadamu "VYAWA" na wengine wema.
Hii ndiyo kwanini tunawaambia huyu WHITE ni shida kwenye mpira, ana matatizo mengi ambayo yanafichwa na huruma kwa hali yake ya kimaumbile na kwakuwa yuko kwenye kundi maalumu.
Ukimsikiliza Ally Kamwe anavyoongea kwa hisia na kukupa Mikasa alopitia kwa WHITE utajua anavyopenda kuhamisha mada, kuwaita watu wana chuki, kumbe yeye kinara.
Mungu fundi sana, kidogo kidogo ukweli unaanza kufahamika. Bin Kazumari anaichukia Yanga ndo maana hampendi WHITE, haya na Ally Kamwe nae vipi? Huyu ni tatizo, Ally Kamwe amefika hatua anasema ZUNGU anajiona kama Malaika. Jinga kabisaaaa.
My Take
Huyu mtu sio wa kumchekea, ni threat iwe kwa Yanga au Simba, iwe Azam au Singida BS
Nenda kamsikilize huko utapata meeengi mazuri ya kujifunza kuhusu hawa Binadamu "VYAWA" na wengine wema.
Hii ndiyo kwanini tunawaambia huyu WHITE ni shida kwenye mpira, ana matatizo mengi ambayo yanafichwa na huruma kwa hali yake ya kimaumbile na kwakuwa yuko kwenye kundi maalumu.
Ukimsikiliza Ally Kamwe anavyoongea kwa hisia na kukupa Mikasa alopitia kwa WHITE utajua anavyopenda kuhamisha mada, kuwaita watu wana chuki, kumbe yeye kinara.
Mungu fundi sana, kidogo kidogo ukweli unaanza kufahamika. Bin Kazumari anaichukia Yanga ndo maana hampendi WHITE, haya na Ally Kamwe nae vipi? Huyu ni tatizo, Ally Kamwe amefika hatua anasema ZUNGU anajiona kama Malaika. Jinga kabisaaaa.
My Take
Huyu mtu sio wa kumchekea, ni threat iwe kwa Yanga au Simba, iwe Azam au Singida BS