Alhamisi nitafunguka-Lwakatare

Status
Not open for further replies.
Hivi hii nchi ina Polisi kweli?? Kwa hii kauli angekua labda ni Lema ndo kaongea angeshakamatwa!!

Kweli Mwigulu ana roho mbaya aisee
 
Kama ametoka mahabusu atulie tu na familia yake. Kuropoka kutamfanya apate majanga mapya kabisa.
Familia yake ipi? inaonesha jinsi mwenzetu ulivyoshiba. Kama akina Mandela wasingeropoka wasingepata umaarufu huu. Endelea tu dada kupumzika, sisi tutapambana na kuhakikisha familia na vizazi vyetu vijavyo vinafaidika na raslimali za ardhi yetu. Endelea kupunga tu upepo, maana wapenda starehe lakini kumbuka hutakumbukwa kwenye historia kama Rwakatare.
 
Molemo
Waambie wanazi wenzako babu yupo matibabuni ujerumani; usidanganye watu yupo kwenye ziara ya kichama ulaya; mtaongopa mpaka lini?
 
Last edited by a moderator:
Slaa alihangaika weeee kuanika mafisadi lakini hakuna chochote cha maana alicho-achieve
bado naamini kuwa wewe ni inteligent na uko-well informed na siasa zetu na maendeleo kwa ujumla but leo unaniangusha. Slaa hana personal objectives katika harakati zake na chama chake dhidi ya mafisadi. Nafaham kuwa unalijua hili. Ndo maana nasema umeniangusha dadaangu
 

Mtakuja na kila aina ya ID lakini hamtafanikiwa.
 
Hivi yule msaidizi wa Lwakatare aliyekuwa anaonyesha alama za Chadema mahakamani naye katoka.
 
Rwakatare sio zombi km wewe gamba ,unadhani unavyo lopoka wewe na wengine hivyo?
 
Molemo
Waambie wanazi wenzako babu yupo matibabuni ujerumani; usidanganye watu yupo kwenye ziara ya kichama ulaya; mtaongopa mpaka lini?

We mbunye kweli, mbona huna fikra hivyo?
ikiwa lengo kuu la safari lilikuwa ziara thena akaamua afanye pia matibabu kuna tatizo wapi? we hujawahi kwenda sehemu kwa ajili ya jambo 1 lakini ukafanya mambo zaidi ya yale uliyoendea ingawa lengo kuu lilikuwa lingine?

Poor chama,
Poor thinking,
Poor CCM!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…