Ooooh Kaka Kimatire...Wengi tuliopita Tabora Boys (Berlin) wakati huo tunamkumbuka Mzee Alexander Ndeki (Mzungu) kwa Moyo wake wa Upendo na ualimu uliotukuka...Daima nitamkumbuka Mzee Ndeki, Mimi Binafsi alinisaidia kwenye mambo mengi...Wale wote waliopita hapo Tumkumbuke Mwalimu...Namkumbuka Mwalimu Kitemangu (Sportsmaster) na Wadau kama Patrick Saulo,Fred Omari,Richard Bwire,Thompson Andambike,Hamis Kimbau,Sam Mwaijande,Mussa Shekilango,Masanja Kasuka,Tiagi Masamaki,Kaka Kuti na wengine wengi!!!
Tuendelee kumkumbuka Mwalimu katika sala/swala zetu ili apate mapumziko mema,Daima na Milele!