Mkuu wa wilaya ya Ubungo Albert Msando akizungumza kupitia kipindi cha Medani za Siasa cha StarTV kinachoongozwa na Mwandishi wa habari Edwin Odemba ameeleza kuhusu kuwepo na mapambano dhidi ya ufisadi nchini
“Ni kweli ufisadi upo Nchini lakini Rais Samia anapambana nao, na anakereka na ufisadi, na vyombo vinavyotakiwa kushugulika na ufisadi Rais ameviwezesha”amesema Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Albert Msando
“Ni kweli ufisadi upo Nchini lakini Rais Samia anapambana nao, na anakereka na ufisadi, na vyombo vinavyotakiwa kushugulika na ufisadi Rais ameviwezesha”amesema Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Albert Msando