kaole
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 237
- 47
Mwanasheria wa Mhe. Zitto Kabwe akizungumza Clouds Tv sasahivi anasema Chadema kinaponzwa na unafiki kwa baadhi ya viongozi akiwemo Mhe. Tundu Lissu.
Pia amesema kwa hali ilipofikia sasa ZZK ni lazima afanye maamuzi magumu. Msando anaendelea kuongea ndani Clouds 360 ya Clouds Tv.
Pia amesema kwa hali ilipofikia sasa ZZK ni lazima afanye maamuzi magumu. Msando anaendelea kuongea ndani Clouds 360 ya Clouds Tv.