Albert Msando: CHADEMA kinaponzwa na unafiki

Albert Msando: CHADEMA kinaponzwa na unafiki

kaole

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2011
Posts
237
Reaction score
47
Mwanasheria wa Mhe. Zitto Kabwe akizungumza Clouds Tv sasahivi anasema Chadema kinaponzwa na unafiki kwa baadhi ya viongozi akiwemo Mhe. Tundu Lissu.

Pia amesema kwa hali ilipofikia sasa ZZK ni lazima afanye maamuzi magumu. Msando anaendelea kuongea ndani Clouds 360 ya Clouds Tv.
 
Anasema utaratibu umekiukwa, Tundu Lissu hana mamlaka ya kumfukuza ZZK kwasababu kikao halali chenye mamlaka hiyo ambacho ni Kamati Kuu hakijakaa.
 
Anasema utaratibu umekiukwa, Tundu Lissu hana mamlaka ya kumfukuza ZZK kwasababu kikao halali chenye mamlaka hiyo ambacho ni Kamati Kuu hakijakaa.
 
Mi nafikiri Msando ndo mnafiki nambari one, na ndiye aliyeharibu mstakabari wa maisha ya Zitto kwa kumfanya nae awe mnafiki.

Hivi si ndo huyuhuyu Msando ndiye aliyepokea pesa za PAP kwa niaba ya Zitto? Si ndo huyu huyu aliyeshirikiana na yule mwanachama wa chadema Arusha aliyekimbilia ACT?
 
Arudi mahakamani kama anaona hajatendewa haki.Kwanza huyu Albert msando ndio aliyemponza zitto na sheria zake za kitapeli.
 
Arudi mahakamani kama anaona hajatendewa haki.Kwanza huyu Albert msando ndio aliyemponza zitto na sheria zake za kitapeli.
Ondoka zitto! yasijeyakakukuta ya Chacha Wangwe.
 
Kikao kilisha kaa tokea mwaka jana. Yalikuwa yamebaki masaa tu ili mwanasheria wa chama atangaze maamzi hayo ndio Zitto akakimbilia mahakamani. Kwa sababu zuio limetupiliwa mbali(limeondoka), chama kinaendelea kumalizia taratibu zake za kumtimua kwa kutangaza rasmi na si kuitisha tena kamati kuu wakati maazimio yalisha fikiwa.
Huu ndio uanasheria wake au kuna mwingine?
 
...huyu mwanamke niliishi naye kwa muda mrefu kama girlfriend wangu...tulikorofishana akanitolea maneno makali sana ondoka sikuhitaji tena...mwanamme gani unashindwa hata kunithamini...matusi yalipozidi nikamwambia basi mama isiwe shida na tuachane sasa...aling'aka umuache nani...nakuuliza umuache nani?!sikubali huwezi kuniacha...
 
Anasema utaratibu umekiukwa, Tundu Lissu hana mamlaka ya kumfukuza ZZK kwasababu kikao halali chenye mamlaka hiyo ambacho ni Kamati Kuu hakijakaa.

Huyo jamaa kilaza tu alichofanya tundu lissu ni kutafsiri katiba ya chama tu hata angekaa kimya by default alikua ameshajifukuzisha
 
Ha ha ha.. Wanakimbilia kwenye media yao kutoa habari.. Inavyoelekea inawauma kwa kuwa Chadema imewawahi kabla ya wao kutangaza kutoka..
 
Haka kajamaa Msando kamemtumia Zitto kama daraja la kujitangaza,before that,kalikua kaanasheria kapigaji,no one new his a.ss whatsoever....

Zitto,u made a wrong move!
 
Anasema utaratibu umekiukwa, Tundu Lissu hana mamlaka ya kumfukuza ZZK kwasababu kikao halali chenye mamlaka hiyo ambacho ni Kamati Kuu hakijakaa.

Tundu lissu hajamfukuza Zitto Bali ,Ametafsiri Katiba Ya Chadema inavyosema kulingana mwenendo wa Kesi ulivyomalizika.
Uko hapo. Kiukweli aliyemponza Zitto ni Albert Masando.
 
Mwambieni huyo Msando akaendelee na majigambo ya kuonyesha hela, kuonyeshana bastola na magari huko Instagram!!

CHADEMA wala Lissu sio saizi yake, ye akaendelee na kina Lemutuz huko Instagram... so childish and stupid
 
Back
Top Bottom