Ila Msando Mungu anakuona yaani umechezea papa la Gigy ukashindwa hata kumpangia chumba Sinza?au basi hata angekuwa jirani na Lemutuz down town hahahaha
Mhhh kwa njaa hizi na ubinafsi wa vijana wa kizazi hiki,najiuliza ikitokea,sokomoko kama lile LA Nduli Amin,wangapi watajitokeza kwenda mstari wa mbele,maana sasa HV ,ni mwendo wa kupambana hari yako tu,Mungu epushia mbali,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.