evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,970
- 9,898
Haka ka dc kamchongo kapuuzi sana kamepost suala la kusitishwa Bunge halafu kamelimit coment .
Kajamaa kapumbavu sana kana jua kujipendekeza na tokea wamejua Samia ni mpenda Masina wanasifia hadi upumbavu.
Yaani jinsi ulivyompumbavu umeamua kuzuia koment
We Mume wa Gigy Money ndivyo huyo mgonjwa wako gigs alivyokufundisha kwamba kuanzia Novemba 13 ,2020 hadi Agosti 3 ,2025 ni siku 1824?
Ngoja nikuelekeza Nov 13 2020 hadi 31 Dec 2020 ni siku 18
Mwaka2021 hadi 2024 tufanya roughly 365×4 = 1460.
January 01 2025 hadi Agost 3 2025 ni siku 214
sasa jumlisha 18+1460+214= 1692.
kimsingi wewe zoba umepotosha kwanza hiki kipengele cha uhai wa bunge katika katiba kipo kimakosa inabidi kibadilishwe kwani kwa mujibu wa sheria za uchaguzi hakiwezekani unless otherwise mtu ataendelea kuwa mbunge hadi pale mbunge mwingine atakapoapishwa .
Kimsingi Tangazo la kusitishwa shughuli za Bunge Tarehe 27 June halafu Bunge litavunjwa 03 Agusti ni hoja mkanganyiko ni kheri huyu Rais wetu kilaza angesema tu Bunge litasitishwa na kuvunjwa hiyo tarehe 3 Agusti angeeleweka
Kajamaa kapumbavu sana kana jua kujipendekeza na tokea wamejua Samia ni mpenda Masina wanasifia hadi upumbavu.
Yaani jinsi ulivyompumbavu umeamua kuzuia koment
We Mume wa Gigy Money ndivyo huyo mgonjwa wako gigs alivyokufundisha kwamba kuanzia Novemba 13 ,2020 hadi Agosti 3 ,2025 ni siku 1824?
Ngoja nikuelekeza Nov 13 2020 hadi 31 Dec 2020 ni siku 18
Mwaka2021 hadi 2024 tufanya roughly 365×4 = 1460.
January 01 2025 hadi Agost 3 2025 ni siku 214
sasa jumlisha 18+1460+214= 1692.
kimsingi wewe zoba umepotosha kwanza hiki kipengele cha uhai wa bunge katika katiba kipo kimakosa inabidi kibadilishwe kwani kwa mujibu wa sheria za uchaguzi hakiwezekani unless otherwise mtu ataendelea kuwa mbunge hadi pale mbunge mwingine atakapoapishwa .
Kimsingi Tangazo la kusitishwa shughuli za Bunge Tarehe 27 June halafu Bunge litavunjwa 03 Agusti ni hoja mkanganyiko ni kheri huyu Rais wetu kilaza angesema tu Bunge litasitishwa na kuvunjwa hiyo tarehe 3 Agusti angeeleweka