Albert Eistei Aliposema
"I know not with what weapon world war 3 will be fought, but world war 4 will be fought with stick and stones:
Huu Msemo ulionekana kama Sarcasm Lakini kulingana na majira ...inaonekana wazi kama world war 3 imekaribia
Nchi kama russia, usa, china na north korea wametengeneza nuclear weapons nyingi kujiandaa na lolote
Kama vita vya 3 vitatokea, watu wengi watapoteza maisha
Vifo na majanga makubwa
Wenye wataponea hii wataogopa sana vita na silahi kama izi...
Vita Vingine Vikifuata Watu Watapigana na Silaha Za Kawaida...vijiti na mawe