S.N.Jilala
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 540
- 507
Mtaalamu wa Fizikia wa muda wote Albert Einstein aliwahi kunena kuwa; Siasa ni ngumu kuliko Fizikia. Huyu jamaa. Mimi namuunga mkono sana maana kwenye Fizikia (Physics) angalau kuna njia yaani (formular) lakini kwenye siasa ni kama mtu anafanya swali la Hesabu ambalo hata yaani (formular) yake halijui kabisa. Kwa hiyo ni ngumu sana Siasa kuliko hata Hesabu.
Pili, ukiipatia ama kwa njia ovu yaani bila formula utajisifia sana kuwa wewe ni mtaalamu wa Siasa. Kusema kweli hata wale magwiji wa Siasa ni Magwiji tu katika kuielezea Siasa katika Nadharia lakini si vitendo. Kwenye vitendo, hakuna nadharia ambazo wengi wanazielezea kwenye vyombo vya habari na kuandika maandiko marefu.
Kama kuna mtu anaamini kuwa Siasa ni rahisi kuliko Fizikia atoe sababu zake,
Pili, ukiipatia ama kwa njia ovu yaani bila formula utajisifia sana kuwa wewe ni mtaalamu wa Siasa. Kusema kweli hata wale magwiji wa Siasa ni Magwiji tu katika kuielezea Siasa katika Nadharia lakini si vitendo. Kwenye vitendo, hakuna nadharia ambazo wengi wanazielezea kwenye vyombo vya habari na kuandika maandiko marefu.
Kama kuna mtu anaamini kuwa Siasa ni rahisi kuliko Fizikia atoe sababu zake,