Albert Einstein na Charles Darwin.......

If it wasn't for the genetic problems that might result from it (chances za recessive genes kujitokeza) I don't see why people shouldn't marry their cousins. Kumbuka zamani hapakua na kitu dating. So if you want to marry someone you know basi ni cousin.
Pharaohs married their blood sisters only to keep the 'goldy' bloodline pure from huma imperfection. One of them ended up beibg born with a spinal malformation ndio wakaelewa kuna hatari ya ndugu kuoana.
On the personality disorders sio scientists tu. It is believed that we all have some disorder (more or less) tofauti ni kiwango gani diaorder yetu inakubalika au inashangaza jamii zetu (foulcaut). Scientists (and more increasingly famous artists) wanaonekana kuathirika zaidi just because they are under the spotlights.
 
Basi nahisi wewe umekua around madr na maprof hadi mkaweza kuelewana.

Lakini kuna maeneo hamna maelewano, raia tunaona dr kachanganyikiwa na yeye anashangaa how ignorant a human being can be?

Mradi tu tunakinzana kimawazo.

Ni wapi huko ambapo hakuna maelewano? Maana Ikungu maprof walikuwa wanajichanganya tu na raia na wanaelewana kabisa. Tena wengine bila hata kuambiwa yule ni prof so and so huwezi hata kujua.

Maprof ni watu wa kawaida tu na wala siyo majiniasi.
 
Ni wapi huko ambapo hakuna maelewano? Maana Ikungu maprof walikuwa wanajichanganya tu na raia na wanaelewana kabisa. Tena wengine bila hata kuambiwa yule ni prof so and so huwezi hata kujua.

Maprof ni watu wa kawaida tu na wala siyo majiniasi.

Kwani majiniasi wako vipi????
 
kwa sababu wanawajua kwa ukaribu sana na pia kuoa binamu nadhani ni jadi ya baadhi ya makabila.
 
Akili nyng huondoa maarifa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…