Kuna jamaa yangu anafanya kazi NBC kanipigia simu kuniambia kuna Tishio la moto. Mwenye kufahamu zaidi tafadhali atujulishe. Hii benki kila siku scandals, kilichobaki tuchukue fedha zetu tu!
Kwakifupi ni kawaida kuzifanyia checkup kama ziko saw napia kuona watumishi wanarespondeje
wakati wa tishio kama hilo kazi kuna square yao yakukutana then kitengo hisika ndio pekee wanaojua kuwa watafanya
hiyo tesk iliwaweze kuandika report yao kila mara baada ya mda fulani, am Ex banker tena hapohapo NBC ndio mikato yao hiyo warry not brave
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.