secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 21,432
- 43,791
Oya mkuu Financial Analyst badilisha kichwa Cha mada tu ila content iwe ileile ili JF modinyos wasifute tena Uzi.
Kuwa makini tu!Hakika nimeona ule uzi aisee,unaweza kuukwaa.
Ajichekie mali mpya live🤣Daaah, aje afanye nini 😂 😂
Bhagoshaa🙌🏾🤣 kale kajoto biashara inaishia hapo😁Kwamba tui litamwagika ikiwa inasugua hapo hapo nje au 😆?
Itakua umemkwaza mahali, jishushe myaweke mambo sawa!Loh mke wangu tangu Jana haongei ! Mkali kama pilipili sijui tatizo!
Miaka 35 nina mashaka kama mashine yako inasimamaDuh ntakuwa mgeni wa nani mie, nimejitunza miaka yangu yote 35 ya hapa duniani, afu leo hii nitoe uvulana wangu, Hapana aisee mm naamini nitapata mwanamke sahihi atakayenielewa 😎
Try me 😎Miaka 35 nina mashaka kama mashine yako inasimama
Ww Amini hvy hvy tuu, usiumize kichwa
nimejifunza kwamba ndoa ni nzuri sanaKwahiyo mpaka hapa umejifunza nini kijana?
Nimeshindwa kuelewa huu uzi unahusu magari au kufanya mapenzi . Kwani huko daslam mkiwa mnafanya mapenzi mpaka mpime oil. Haya mmeamua kupima basi kwanini mnatumia vidole na vipi kama watu hawana gari?🧐🙂
Pole sana binti, naelewa hapo genye ziko mahali pale 🤣🤣🤣Dada huku mlenda mwingi🥹
Ki antena kimesimama wima mithili ya kidole gumba uwiiiiii
Kuna mda natamani nikikate hiki dude nikitupe hukoPole sana binti, naelewa hapo genye ziko mahali pale 🤣🤣🤣
Naomba jukumu la kukilainisha kiantena niachie mm 😎Dada huku mlenda mwingi🥹
Ki antena kimesimama wima mithili ya kidole gumba uwiiiiii
😅😅Episode 1 imeanza, naona saiv jukwaa la wakubwa linaombwa kwa vitendo !
Usifanye hvy, mm najitolea kwa hali na mali kuhakikisha hili suala lako nalimalizaKuna mda natamani nikikate hiki dude nikitupe huko
Mtoto tulia weweNaomba jukumu la kukilainisha kiantena niachie mm 😎
Try meMtoto tulia wewe
Tunawapenda wanaume wa mikoani na ba mjengo wangu anawaheshimisha sana!wanaume kamili wa mikoani rada hua iko active at all the time,
Hivi kukaa vibaya ndiyo kukaaje?na huwa ni kupeleka motroo tu ukikaa vibaya kidogo tu at a given time in a house 🐒