Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 29,020
- 40,793
Habarini Wadau,
Sitamsahau mpenzi wangu mmoja wa kijijini wa kipindi kile cha chuoni mwanzoni...ana jina la kiasili kabisa la usangini akiitwa Nafikahedi ( ana jina lingine rasmi)
KIUKWELI Mimi huwa napenda sana wasichana au wanawake wanaojikubali jinsi walivyo pasipo kuigiza maisha, no matter waonekane masikini au washamba mimi silijali hilo na nitatembea naye kokote kwa majidai na mbwembwe huku nikijiamini na kuwa jasiri kama simba dume.
Ila huyu nimpendaye nilishindwa kuendelea naye kwa kuwa alikuwa ananing'ata sio mchezo
Sio siri nilikuwa nikiingia naye room na wakati wa ile shughuli akikaribia kufika kileleni NI LAZIMA ANING'ATE na sio mara moja limetokea hili
Ila ninachoshangaa ni kuwa baada ya hapo atajutia sana na kuomba nimsamehe eti anajisahau ila baadae tukikutana tena ataning'ata tu na kutoa sauti mbaya...lasivyo ataning'ang'ania na kucha mpaka sikumoja mi nikamwambia kabisa akining'ata nitampiga au kumuwekea shuka mdomoni ila wapi hasikii.
Mwaka jana nilienda kijijini kwao ila ni kwa Mtendaji wa kata sio kwao lakini nikamwona amekaa mahali dukani na wenzie akaniona na kunitext
"Mambo nimekumiss, ghafla nikamwonesha alama shingoni kwangu aliyoniwekaga yeye kwa meno yake mara ya mwisho kuning'ata....halafu alichoniudhi zaidi eti akaniambia nipake mavi ya kuku patapona mpka nikasema huyu amekuaje?
Akanitext tena I promise sikung'ati tena...then akanitamkia kwa sauti isiyo kubwa saana ila wenzake hawakuelewa chochote aliniambia
"sitakung'aa ten" mimi nikamuelewa, Ila wenzake wakabaki kuduwaa
Hivi kuna mtu humu keshawai kufanyiwa hivyo na mpenzi wake?
Way out ???
Sitamsahau mpenzi wangu mmoja wa kijijini wa kipindi kile cha chuoni mwanzoni...ana jina la kiasili kabisa la usangini akiitwa Nafikahedi ( ana jina lingine rasmi)
KIUKWELI Mimi huwa napenda sana wasichana au wanawake wanaojikubali jinsi walivyo pasipo kuigiza maisha, no matter waonekane masikini au washamba mimi silijali hilo na nitatembea naye kokote kwa majidai na mbwembwe huku nikijiamini na kuwa jasiri kama simba dume.
Ila huyu nimpendaye nilishindwa kuendelea naye kwa kuwa alikuwa ananing'ata sio mchezo
Sio siri nilikuwa nikiingia naye room na wakati wa ile shughuli akikaribia kufika kileleni NI LAZIMA ANING'ATE na sio mara moja limetokea hili
Ila ninachoshangaa ni kuwa baada ya hapo atajutia sana na kuomba nimsamehe eti anajisahau ila baadae tukikutana tena ataning'ata tu na kutoa sauti mbaya...lasivyo ataning'ang'ania na kucha mpaka sikumoja mi nikamwambia kabisa akining'ata nitampiga au kumuwekea shuka mdomoni ila wapi hasikii.
Mwaka jana nilienda kijijini kwao ila ni kwa Mtendaji wa kata sio kwao lakini nikamwona amekaa mahali dukani na wenzie akaniona na kunitext
"Mambo nimekumiss, ghafla nikamwonesha alama shingoni kwangu aliyoniwekaga yeye kwa meno yake mara ya mwisho kuning'ata....halafu alichoniudhi zaidi eti akaniambia nipake mavi ya kuku patapona mpka nikasema huyu amekuaje?
Akanitext tena I promise sikung'ati tena...then akanitamkia kwa sauti isiyo kubwa saana ila wenzake hawakuelewa chochote aliniambia
"sitakung'aa ten" mimi nikamuelewa, Ila wenzake wakabaki kuduwaa
Hivi kuna mtu humu keshawai kufanyiwa hivyo na mpenzi wake?
Way out ???
