Alama za misalaba ni upagani

Mkuu kama Una PDF ya symbolism chochote Kile kilete humu Kwa manufaa ya jukwaa
 
We umeyajuaje hayo yote kama wewe mwenyew sio illuminati!?
 
Wasabato walikuwa wanapinga alama ya msalaba lakini cha ajabu kwenye nembo yao kuna alama ya msalaba
 
Biblia ikizungumzia Msalaba haimaanishi huo mti

Why mnaendelea kudanganywa?

Mbona vitabu vimeweka wazi,
 
Biblia ikizungumzia Msalaba haimaanishi huo mti

Why mnaendelea kudanganywa?

Mbona vitabu vimeweka wazi,
Mkuu nakushauri kabla ya kuanza kuandika kuhusu Symbols Kasome kwanza Symbology...
Kasome symbols na signs Zinamaanisha nini..

Nahisi wewe ndo umedanganywa na kawaida Mtu yoyote adanganywaye Huwa hawezi kutetea Anachoamini Kina ukweli..

Sasa nikikuuliza Kitabu gani kwenye Biblia 😅😅
Kinazungumzia uliyoyasema 🤣🤣
Utanionyesha
 
Nimetumwa kusema ukweli ili iwe ushuhuda
 
Msalaba uliodanganywa unatumiwa na wakristo , ni umetoka Kwa wapagani ,Yesu hakuwahi kuagiza mmbebe misalaba ,hiyo miti kuvaa na kuiweka kama ishara mmepata wapi
 
Wewe unahitaji msaada mkubwa sana
 
Wewe unahitaji msaada mkubwa sana
 
Mkuu hata wewe umeshindwa kuelewa Hilo andiko halizungumzii hiyo miti na alama za misalaba ,Bali linazungumzia kifo Cha Yesu yaan Wokovu


Kwa uelewa wako Hilo andiko linaagiza muchonge misalaba na kuiweka makanisani na kuivaa ,yaan ndio ulichoelewa hapo?

Hilo andiko linazungumzia hasa Wokovu ,kufa Kwa Yesu Msalabani ,
 

umeandika imani ya kikristo inasimama kwenye biblia , Jee ulikusudia biblia ipi ?? kwani kuna biblia nyingi na haziko sawa


View: https://www.youtube.com/watch?v=D8MH7BW_bFo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…