Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,448
- 176,418
Ndio vizuri maana nina uhaba wa hamu mwilini.Inaleta hamu hiyo
Ndio vizuri maana nina uhaba wa hamu mwilini.Inaleta hamu hiyo
Bado unaishi kwenu! We usivae hizo vitu ili matiti nayo yapate hewa poa ila inaonekana una mtindi wa kutoshanahis huelew..yaan mm mgongon na bagan imechora kbs jaman..eti unavutiwa
mm hapana nimeanza zichukia..maana janq dingi aliniona akamuask mkewe
nilijisikia ovyo
![]()
We usiniambie ndio lengo lakeHahhahahahha ili ukiwa na hamu akusaidie

Hahahahah wa kuzitoa hamu awepo sasaNdio vizuri maana nina uhaba wa hamu mwilini.
Sasa jeeWe usiniambie ndio lengo lake![]()
Bado unaishi kwenu! We usivae hizo vitu ili matiti nayo yapate hewa poa ila inaonekana una mtindi wa kutosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha haaKwasisi madaktari wateule wa ngozi hilo tatizo dogo sana,kuna massage fulani na mafuta fulani,njo clinic yangu iko mtaa wa uhuru mwanza karibu na mlango mmoja
Duhh !!!nahis huelew..yaan mm mgongon na bagan imechora kbs jaman..eti unavutiwa
mm hapana nimeanza zichukia..maana janq dingi aliniona akamuask mkewe
nilijisikia ovyo
![]()
Hahahaha hahaa .... hapo lazima mwanaume awe chizi milembeNJE YA MADA!
"BAR" na "BRA" ni maneno yenye herufi zinazofanana japo zipo sehemu tofauti, "BAR" na "BRA" vyote vikifungiliwa vina mfanya mwanaume apagawe, Sasa imagine kuna dem anaitwa BABRA
kwa kweli,mie over super black,sijawahi ona hiyo mistari😄😄Mie sijui kwavile cheusi mangala, sina hizo alama.
Be you.
kwa kweli,mie over super black,sijawahi ona hiyo mistari😄😄
Mtoto fala kweli wewe...ndo umemuonesha hio mistari nini mbona anafurahia...?
Mimi sio mdada ila namuona gf wangu hupaka mafuta ya cocoa butter na baby oil. Husema inaondoa uwasho na alama za mwiliniHabari zenu wanawake wenzangu..
Hivi hizi alama za brazia huwa inawezekanika kutoka kweli? naamanisha zile sehemu inayopita brazia..inaacha mark mno jaman..nimeanza jichukia
Je kuna dawa yyt au mafuta yyt yanayoweza kusaidia kutoa!?yaan inafikia hatua unashindwa kuvaa backdress..au nguo zifananazo ..kama offshoulder!sio mabegani tu ni had huku mgongoni...itafikia kipindi ht kwenda beach tutaogopa..!hebu nataka jua na nyie zinawatokea..at first nilikua nalala na bra.. (mazoea mabaya)sasa hv nimeacha ila alama bado tu😢😢😢😢😢!
cc.
Nalendwa ,Shunie espy Heaven Sent Meeyah !
Dah !!!, hilo jicho ... mhh !!huwa ipo sema kila mtu anajichukuliaje..sio mweupe au mweusi
Mtoto fala kweli wewe...ndo umemuonesha hio mistari nini mbona anafurahia...?