Al Shabab Safe House in Tanzania?

Al Shabab Safe House in Tanzania?

Status
Not open for further replies.
kwa hili hatuhitaji ushauri. Alshabab nao ni binadamu na sisi watanzania hatuna ugomvi nao. Waishi tu bongo

Ndio endelea kumhifadhi jini Tanzania na iko siku atakosa damu ya Wakenya na ndio utajua ni nuksi mbaya. Sasa hivi ina maana darubini ya kimataifa inaelekezwa Bongo kuwa ndio pango la majini hawa wa Alshabaab.
 
Huyu mbaba aliyeko madarakani atatuletea balaa, haka kamuda kake bora kamalizikie
 
Mnalo huko, mtawajuwa Wasomali ni akina nani na maana ya Warrior ni nini.

Everybody is born a warrior, usidhani hutu tumijihadi twenu ndio walizaliwa tu wenye uwezo wa kupigana, wengine wetu tunajaribu kuwa civilized na kuacha taasisi zilizopo kwenye katiba kuwashughulikia. Lakini kama vipi muamue kieleweke, quran inawafundisha kuwaua watu wasio waislamu, basi muanzishe kitu cha wazi na bila kutoroka ama kufichana fichana.
 
Everybody is born a warrior, usidhani hutu tumijihadi twenu ndio walizaliwa tu wenye uwezo wa kupigana, wengine wetu tunajaribu kuwa civilized na kuacha taasisi zilizopo kwenye katiba kuwashughulikia. Lakini kama vipi muamue kieleweke, quran inawafundisha kuwaua watu wasio waislamu, basi muanzishe kitu cha wazi na bila kutoroka ama kufichana fichana.

Naona huwajuwi Wasomali, hata walipowakong'ota west gate mall, hero akawa huyo huyo Msomali! umesahau? ilikuwa ujifunze kitu kwa lile tukio. Majeshi yenu yaliishia kuwa looters, Msomali aka Warrior mmoja akawa hero wa west gate. Imagine.
 
Naona huwajuwi Wasomali, hata walipowakong'ota west gate mall, hero akawa huyo huyo Msomali! umesahau? ilikuwa ujifunze kitu kwa lile tukio. Majeshi yenu yaliishia kuwa looters, Msomali aka Warrior mmoja akawa hero wa west gate. Imagine.

Jambo lenye huwa sikuelewi, wewe huwa unahangaikia nini, wanaume wenu watapata mabikira na pombe, sasa wewe inakuaje mwanamke utapewa waume wangapi. Huwa sipati picha hebu nielimishe. Maana naona kwa mfano kule Boko Haram mnafunga mabomu kwa wasichana wadogo, sasa hao wasichana watapata dhawabu gani.
 
Wote mlioniuliza nipo serious na huo ndiyo msimamo wangu. Kenya walilikoroga tuwaache walinywe. Somalia Sea Revenue Authority (SSRA) aka Alshabab hawana shida na sisi wala Kenya. Dai lao halali nalo ni kuwataka kث
 
The White Widow, a British soldier’s daughter from Aylesbury, Bucks, is the subject of an -international manhunt by nearly 200 countries after being named in a Red Alert by Interpol after the -shopping mall atrocity.


New information has emerged linking Lewthwaite to al-Shabaab safe houses in Tanzania and Somalia – where she has “become a hero” amongst fanatics in both countries, according to security sources.


Spy chiefs said the “international -security community” is locked in talks to arrange a huge reward for information leading to her arrest.


Lewthwaite is a prime target for American special forces engaged in a number of “highly classified” operations to capture a dozen of the world’s most wanted terrorists.

Nimeiskia hii kitu leo kwenye magazeti nahisi ni technique ya kutu ondoa katika maswala muhimu yanayohusu maslai ya wana nchii hasanishu ya escrow hii wanaitumia sana wamarekani kakitaka kutimiza matakwa yao wana wa waogopesha wananchi kiaina
 
Tz na alshab wapi na wapi tuwaachie kenya na alshabab wao

Wanataka kuleta uzishi ili tusahau ishu za escrow hakuna cha alshababu wala nn sie hatuna ugomvi nao kabisaaa
 
Mnalo huko, mtawajuwa Wasomali ni akina nani na maana ya Warrior ni nini.

Aaa wasomali waoga sana.Dawa yao ni wahabeshi.Jiulize pamoja na uvamizi wa Ethiopia kwenye ardhi ya Somalia, je Al shabaab walilipa kisasi? Nasikia waliwahi kupanga shambulio Addis, ila kitu Melesi alichowafanya, wasomali hawatokaa wajaribu kuichokonoa tena Ethiopia.

Nawashauri Wakenya wawaulize Wahabeshi wanatumia mbinu gani kuwatia adabu Wasomali.
 
Waafrika wameingizwa na kucheza
ngoma ya nchi za magharibi, UGAIDI, bila ya wenyewe kujua.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom