Al Shabaab yauwa wanajeshi wa Ethiopia

Askari Kanzu

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
4,598
1,233
Al-Shabaab yauwa wanajeshi wa Ethiopia
10 Machi 2012 17:53
2011112204548712965_20.jpg


Kikundi cha wapiganaji wa Kiislamu nchini Somalia, cha al-Shabab, kimefanya shambulio dhidi ya wanajeshi wa Ethiopia na wa serikali ya Somalia, na kuuwa wanajeshi kadha.

Al-Shabaab walivizia na kushambulia kambi ya jeshi kwenye njia inayounganisha mji wa Baidoa na mpaka. Mapambano yaliendelea kwa saa nne.

Waandishi wa habari wanasema mapigano yalikuwa makali kabisa kutokea tangu wanajeshi wa Ethiopia kuingia nchini Somalia mwezi wa Novemba mwaka jana.


Al-Shabaab ilisema iliuwa wanajeshi 73 wa Ethiopia, lakini serikali ya Somalia inasema wapiganaji 45 walikufa.

BBC Swahili
 
By Zadock Angira
Nairobi, Kenya
Saturday the 10th.03.2012
21:30 Hrs

At least six people were feared dead after a series of blasts ripped through Landhies Road near the Country Bus Station in Nairobi Saturday.
Twenty others were rushed to hospital suffering injuries following the blasts suspected to have been caused by grenades.


Nairobi provincial police boss Anthony Kibuchi, who rushed to the scene after the blasts, confirmed the deaths and said police would get to the bottom of the attacks.


Police said that the four explosives were thrown out of a moving vehicle over a stretch of about 100 metres. The vehicle is believed to have sped off towards Eastlands although witnesses were vague about the description of the vehicle since the attacks occurred after darkness had set in.


The blasts caused a scare with those who escaped unhurt scampering for cover as police and rescue services rushed to the scene to take the injured to hospital.


By 9 p.m. the Kenyatta National Hospital had received up to 20 casualties who were undergoing treatment for various injuries, Kenyatta National Hospital spokesman Simon Ithai said.


The blasts came hours after Kenya Defence Forces spokesman Colonel Cyrus Oguna cautioned Kenyans to remain vigilant as troops pursue Al-Shabaab militia inside Somalia.

READ MORE source: Six feared dead in Nairobi explosion  - News |nation.co.ke
 
Al-Shabaab yauwa wanajeshi wa Ethiopia
10 Machi 2012 17:53
2011112204548712965_20.jpg


Kikundi cha wapiganaji wa Kiislamu nchini Somalia, cha al-Shabab, kimefanya shambulio dhidi ya wanajeshi wa Ethiopia na wa serikali ya Somalia, na kuuwa wanajeshi kadha.

Al-Shabaab walivizia na kushambulia kambi ya jeshi kwenye njia inayounganisha mji wa Baidoa na mpaka. Mapambano yaliendelea kwa saa nne.

Waandishi wa habari wanasema mapigano yalikuwa makali kabisa kutokea tangu wanajeshi wa Ethiopia kuingia nchini Somalia mwezi wa Novemba mwaka jana.


Al-Shabaab ilisema iliuwa wanajeshi 73 wa Ethiopia, lakini serikali ya Somalia inasema wapiganaji 45 walikufa.

BBC Swahili

Hii kama kawaida ni propaganda!!
 
By Zadock Angira
Nairobi, Kenya
Saturday the 10th.03.2012
21:30 Hrs

At least six people were feared dead after a series of blasts ripped through Landhies Road near the Country Bus Station in Nairobi Saturday.
Twenty others were rushed to hospital suffering injuries following the blasts suspected to have been caused by grenades.


Nairobi provincial police boss Anthony Kibuchi, who rushed to the scene after the blasts, confirmed the deaths and said police would get to the bottom of the attacks.


Police said that the four explosives were thrown out of a moving vehicle over a stretch of about 100 metres. The vehicle is believed to have sped off towards Eastlands although witnesses were vague about the description of the vehicle since the attacks occurred after darkness had set in.


The blasts caused a scare with those who escaped unhurt scampering for cover as police and rescue services rushed to the scene to take the injured to hospital.


By 9 p.m. the Kenyatta National Hospital had received up to 20 casualties who were undergoing treatment for various injuries, Kenyatta National Hospital spokesman Simon Ithai said.


The blasts came hours after Kenya Defence Forces spokesman Colonel Cyrus Oguna cautioned Kenyans to remain vigilant as troops pursue Al-Shabaab militia inside Somalia.

READ MORE source: Six feared dead in Nairobi explosion *- News*|nation.co.ke

Wewe Mkuu wacha uoga unachanganya posts hapa, nilikuwa nimeweka post hii hapo kwenye jamvi
 
Back
Top Bottom