Inaelekea una ndoto kuwa iko siku utasikia Alshabaab imekufa na Somalia iko salama chini ya African Union ikiongozwa na Uganda na Burundi.Hili milele halitotokea.
Njaa ikiisha wanarudi mjini.Hivi sasa pia huko waliko hawakamatiki.
Jiulize taifa kubwa kama America linakufa pole pole kwa kiu yake ya kutaka kuuwa uislamu Iraq na Afghanistan itakuwa Burundi na Uganda!.
Jana tu Askari shujaa wanaoitwa seels 30 wameuliwa Afghanistan.
Inaelekea una ndoto kuwa iko siku utasikia Alshabaab imekufa na Somalia iko salama chini ya African Union ikiongozwa na Uganda na Burundi.Hili milele halitotokea.
Njaa ikiisha wanarudi mjini.Hivi sasa pia huko waliko hawakamatiki.
Jiulize taifa kubwa kama America linakufa pole pole kwa kiu yake ya kutaka kuuwa uislamu Iraq na Afghanistan itakuwa Burundi na Uganda!.
Jana tu Askari shujaa wanaoitwa seels 30 wameuliwa Afghanistan.
Inaelekea una ndoto kuwa iko siku utasikia Alshabaab imekufa na Somalia iko salama chini ya African Union ikiongozwa na Uganda na Burundi.Hili milele halitotokea.
Njaa ikiisha wanarudi mjini.Hivi sasa pia huko waliko hawakamatiki.
Jiulize taifa kubwa kama America linakufa pole pole kwa kiu yake ya kutaka kuuwa uislamu Iraq na Afghanistan itakuwa Burundi na Uganda!.
Jana tu Askari shujaa wanaoitwa seels 30 wameuliwa Afghanistan.
watu wengine sijui mnafikiria na akili za wapi,
kwa hiyo unaona uganda na burundi hawafanyi lolote,naona melewa dini, wauwaji ndio unawaita mshujaa, unafaidi nini kufurahia vifo vya wamarekani
kama Mungu wenu angekuwa anasikia basi angekuwa ashawaangamiza wamarekani, dua zenu mbaya ni baraka kwao.