wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,574
Kocha wa Al ahly analipwa zaidi ya milioni 300 Kwa mwezi halafu ni Msouth
Daah wkt yule kocha mkongo wa Yanga aliondoka anadai.
Kocha wa Al ahly analipwa zaidi ya milioni 300 Kwa mwezi halafu ni Msouth
Ukihangaika na Uto utaumiza kichwa chako, unawapuuza tu.Mpira ni pesa wewe wala siyo hiyo miongo unayosema. Unafikiri Psg imewachukua miongo au zimewekwa pesa ndio wakawafikia Marseille? Au Man city imewachukua miongo hapo walipo au ni pesa?
Bila pesa hata ingekuwa karne hautafika pale walipo kwa maana ya kusakata kabumbu.
Halafu unapoikejeli timu moja tena inayojitahidi unaonekana shabiki maandazi. Hivi kati ya mambo ya brand , press conference na timu nyingine kutokuwa na uwanja hata wa mazoezi ipi inakwamisha kupiga hatua?
Au timu zingine zimekatazwa kufika mbali? Utopolo bhana!
Mpira ni pesa wewe wala siyo hiyo miongo unayosema. Unafikiri Psg imewachukua miongo au zimewekwa pesa ndio wakawafikia Marseille? Au Man city imewachukua miongo hapo walipo au ni pesa?
Bila pesa hata ingekuwa karne hautafika pale walipo kwa maana ya kusakata kabumbu.
Halafu unapoikejeli timu moja tena inayojitahidi unaonekana shabiki maandazi. Hivi kati ya mambo ya brand , press conference na timu nyingine kutokuwa na uwanja hata wa mazoezi ipi inakwamisha kupiga hatua?
Au timu zingine zimekatazwa kufika mbali? Utopolo bhana!
Kaongea ukweliHili jamaa jinga sana ndio.maana mke wake analibonda
uzi ulikua mzuri lakin umezidisha unazi wa utopolo .timu haina ontaget haina conner dk 90Yes, no doubts
Nipo sebuleni kwangu naangalia mpira wa Al ahly vs Bayern Munich aiseee siamini kama kuna timu kutoka Africa inaweza cheza kwa kujituma katika level hiii. Timu za Tanzania zina safari kubwa ambayo itawachukua miongo kadhaaa kuwafikia hawa jamaaa.
Congratulations KWA league ya Misri, mpira ni pesa, mpira ni uwekezaji. Mpira sio press conference kila siku. Kufika level kunahitaji vision na sio ubabaishaji wa mitandaoni eti mnalinda brand. Huu ndio mpira sasa, hawa jamaa wanaweza cheza hata UEFA na kuna timu za kijinga jinga zinachezea goals za kutosha.
Ni hayo tu
Kocha wa Al ahly analipwa zaidi ya milioni 300 Kwa mwezi halafu ni Msouth
Mkuu una uhakika haina On target?!uzi ulikua mzuri lakin umezidisha unazi wa utopolo .timu haina ontaget haina conner dk 90
Ah sasa wee muongo eti nikajua kuwa wekundu ndio bayern...wee bayern hii toka lini ikapaki basi nusu uwanja?Ki ukwel hata mm naangalia hapa bahat mbaya nimefika dk ya 20 lakn nikajua wenye red ni bayen nimeshangazwa sana mikia mjiandae
Sii aliwapiga tano wakaona isiwe tabu wacha tumchukue.Kocha wa Al ahly analipwa zaidi ya milioni 300 Kwa mwezi halafu ni Msouth
Nasikia mikia match yao na al ahly washaandaa paka kama elfu 4 hvKutegemea paka kila siku level za al alhy tutazisikia tu
Anza kwa kulinganisha na uchumi wa Tanzania vs Misri.Yes, no doubts
Nipo sebuleni kwangu naangalia mpira wa Al ahly vs Bayern Munich aiseee siamini kama kuna timu kutoka Africa inaweza cheza kwa kujituma katika level hiii. Timu za Tanzania zina safari kubwa ambayo itawachukua miongo kadhaaa kuwafikia hawa jamaaa.
Congratulations KWA league ya Misri, mpira ni pesa, mpira ni uwekezaji. Mpira sio press conference kila siku. Kufika level kunahitaji vision na sio ubabaishaji wa mitandaoni eti mnalinda brand. Huu ndio mpira sasa, hawa jamaa wanaweza cheza hata UEFA na kuna timu za kijinga jinga zinachezea goals za kutosha.
Ni hayo tu
😅😅😅Nasikia mikia match yao na al ahly washaandaa paka kama elfu 4 hv
Yanga walimchapa kimoko taifa Canavaro aliwaua,home Bahanuzi akazingua kwenye penaltysasa kama al ahaly wanastahili kucheza UEFA simba nao utasemaje maana walishachezeaga kimoja hapa
Kwani Simba haijawahi kuifunga Al Ahly au ulikuwa kwenu mbwinde unawinda vidukwi?Ki ukwel hata mm naangalia hapa bahat mbaya nimefika dk ya 20 lakn nikajua wenye red ni bayen nimeshangazwa sana mikia mjiandae
Mashabiki wa utopolo ni wa ajabu sana. Yule kocha hakukosea kuwaita manyani kazi yao kubweka bweka tu.Mpira ni pesa wewe wala siyo hiyo miongo unayosema. Unafikiri Psg imewachukua miongo au zimewekwa pesa ndio wakawafikia Marseille? Au Man city imewachukua miongo hapo walipo au ni pesa?
Bila pesa hata ingekuwa karne hautafika pale walipo kwa maana ya kusakata kabumbu.
Halafu unapoikejeli timu moja tena inayojitahidi unaonekana shabiki maandazi. Hivi kati ya mambo ya brand , press conference na timu nyingine kutokuwa na uwanja hata wa mazoezi ipi inakwamisha kupiga hatua?
Au timu zingine zimekatazwa kufika mbali? Utopolo bhana!
Ndio maana nakupenda uko tofauti na utopolo wenzio.Daah!! Kwa upande wangu naona bado sana hata hiyo Al Ahly kufika level za kucheza Uefa Champions league kwani jana ni kama muda wote walikuwa wanabakia nyuma tu sa sijui walikuwa na lengo gani nadhani ilikuwa kupunguza idadi ya magoli.
Na ndio sababu hata Possession Al Ahly waliachwa mbali sana na Bayern Munich na pale kwa jinsi ligi ya Germany ilivyo hata angekuwa Mainz 😅 angemtoa sana jasho Al Ahly kwani sisi soka letu Afrika mpaka mtu anakuwa bingwa ni mwendo wa fitna tu na ushirikina hamna mpira wa mana tunaocheza tofauti na wenzetu Ulaya.