Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,023
- 13,370
Tena uzuriwake wapigwe mkono (tano)Taifa stars ikicheza hata ikiwa na wachezaji wa yanga tu nitaishangilia sana.Ila siwezi kuiombea heri Yanga iwatoe waarabu huko Misri,haiwezekani.Watatusumbua sana huku mtaani.AL AHLY NAOMBA MUWAFUNGE YANGA ILI TUHESHIMIANE HUKU KITAA.
#TEAM AZAM FC
Hapo mnajidanganya tu achen wivu kama azam siku nyingi tumesha wasahau labda wajarib tena mwakan....simba labda 2025 ndio watarud kwenye fom.yanga lazima ishinde.Tena uzuriwake wapigwe mkono (tano)
hapo mnajidanganya tu achen wivu kama azam siku nyingi tumesha wasahau labda wajarib tena mwakan....simba labda 2025 ndio watarud kwenye fom.yanga lazima ishinde.
Hapo mnajidanganya tu achen wivu kama azam siku nyingi tumesha wasahau labda wajarib tena mwakan....simba labda 2025 ndio watarud kwenye fom.yanga lazima ishinde.
Habari za bunju kazi inaendeleaje huko leo ni siku ya tisa jaman vip watu wanajitokeza kama walivyo jitokeza kujenga jengo la club pale kwenye msonga mano?najua waarabu hawana masihara.......lazima yeboyebo warudi vichwa chini hapa...na watapoteana tu......airport Dsm kila mmoja na njia yake..
Habari za bunju kazi inaendeleaje huko leo ni siku ya tisa jaman vip watu wanajitokeza kama walivyo jitokeza kujenga jengo la club pale kwenye msonga mano?
Taifa stars ikicheza hata ikiwa na wachezaji wa yanga tu nitaishangilia sana.Ila siwezi kuiombea heri Yanga iwatoe waarabu huko Misri,haiwezekani.Watatusumbua sana huku mtaani.AL AHLY NAOMBA MUWAFUNGE YANGA ILI TUHESHIMIANE HUKU KITAA.
#TEAM AZAM FC
Kwahiyo na uongiz wa simba umeacha kazi bunju umeenda kushangilia al-ahali misri? Sasa siku 100 kweli utakuwa umeisha?ngoja kwanza liishe hili la waarabu....
Tunaweza kuiona hiyo game ya kesho ?
Ha ha ha....!hv cku ile ulivunja viti vingapi vile!?