WAZEE WAMASAUTI, hawadanganyi hao.
wazee wa mimina mimina!
wazee wa USITINGISHE,weita leta ingine
wazee wa NASIKIA RAHAA,NASIKIA RAHAAAAAAAA
wazee wa KANDAMIZA EEEEEEH MAMA kandamiza
hapa KANAL TOP,hapa ALLEN KABASSEELE,hapa christian bella,
ni noma!NI BALAAA
wazee wa SHIKAMOO MUZEEE.........,ale TOOOOOOOOOOOOOOOOOOOKA MARAHBAAAAAAAAAA
Wazee wa Ngwasuma without a doubt wapo juu sana allround, sebene zauwakika na zimeenda shule. Lakini Akudo wanakuja kwa kasi ya ajabu. Nyimbo kama "Mapenzi yakowapi" na "Mama Venesa" sio zakawaida. Lakini bado awajaji prove, tuwape mda tu na tunaweza tukawa tunaongea mengine hapa.
- Wazee wa Mujini hawana mpinzani kwa bongo sasa hivi, Akudo cha mtoto mambo yote Wazee wa funika bovu XXL, yaani sasa wamefikia mahali ukitaka tiketi ya dance lao la next week inakuwa fullhouse hakuna tiketi, hiyo haijawahi kutokea bongo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.