Akombe: IEBC's chairman Chebukati is under house arrest

Geza Ulole

JF-Expert Member
Oct 31, 2009
59,062
79,089
In trying to make sure the 26th October election is taking place even after the main rival's withdrawal citing lack of credibility on the team overseeing the electon, the Jubilee led government is unlawfully putting Mr Chebukati under siege. This is according to Rose Akombe the commissioner that fled to the US.



MY TAKE
Political affiliation aside n truth be told the Supreme Court of Kenya is the only institution withholding that country from the brink of Anarchy.
 
Power mongers will do no good to Kenya.
He should be taught an unforgettable lesson.Should not cling to a public office!
 
Two things either mass revolution or civilian war as ballot box has proven a failure.
uzuri wakenya sio kama watz... wao wanajielewa na wanaelewa nini wataka maishani mwao....
ni kweli uchaguzi hautafanyika hiyo 26
 
Kenya haiwezi kubaki salama, kitendo cha kuchinja watu 2007 na wahusika wasitafutwe na kuhukumiwa mahakamani, badala yake serikali ikatumia nguvu nyingi na kupoteza watu wengine ili kuwatetea watuhumiwa wa mauaji kwa sababu watuhumiwa ni matajiri, lazima damu ya walikufa itawarudia, huu ni mwanzo tu.
 
In trying to make sure the 26th October election is taking place even after the main rival's withdrawal citing lack of credibility on the team overseeing the electon, the Jubilee led government is unlawfully putting Mr Chebukati under siege. This is according to Rose Akombe the commissioner that fled to the US.

MY TAKE
Political affiliation aside n truth be told the Supreme Court of Kenya is the only institution withholding that country from the brink of Anarchy.

Kizungu ni ngumu kweli.
Under siege haimaanishi under house arrest.
And according to many, the Supreme Court is the reason we're in this situation. Their dubious nullification gave an opening to the Lord of Violence to cause chaos.
 
Kenya haiwezi kubaki salama, kitendo cha kuchinja watu 2007 na wahusika wasitafutwe na kuhukumiwa mahakamani, badala yake serikali ikatumia nguvu nyingi na kupoteza watu wengine ili kuwatetea watuhumiwa wa mauaji kwa sababu watuhumiwa ni matajiri, lazima damu ya walikufa itawarudia, huu ni mwanzo tu.
Hatukua na working constitution and proper judiciary in place wakati huo. This time our Judiciary and Constitution is busy fighting for the people's rights. Hatuna pressure thanks to the two.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Back
Top Bottom