Umecha-(kazwa)Hata mitume na manabii hawakuwahi kutamka maneno hata. Heko watu wa Dar es salaam kwa kuwa na Mungu karibu yenu kupitia Makonda.
Mashehe, mapadre na wachungaji katafuteni kazi nyingine Dar sasa wakitaka toba au msaada wa Mungu watapitishia kwa Makonda kwani ndio njia rahisi maana alipo simama yeye hapo hapo ndipo alipo. Hili jambo litangazwe duniani na hakika ulimwengu utafurika hapa kuja kwa Makonda na nchi itanufaika kwa chanzo hicho kipya cha mapato
upo sahii sana mkuu tatizo watu wanapiliza mihemkoHuyu atapinda huo mdomo kama Seif Khatib siku sio nyingi
Ila mbona kama nimemuelewa Makonda ,Alisema mimi nikisamama mahali Mungu amesimama ,yaani kwamba alipo yeye Mungu yupo naye au mimi ndio sielewi ?
Hakuna sekta ilikuwa imeoza kama ardhi ,alitakiwa awatie vibao kabisa hao washenzi
Wote ni miungu!Najua Makonda aliteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam. Najua pia kwamba Rais Magufuli aliyemteua Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, yeye mwenyewe alikatataliwa na wana Dar es Salaam. Sasa Makonda anapowataka wana Dar es Salaam wamtambue kama mungu na kwamba akisimama kuongea nao ni mungu kasimama...je mteuzi mwenyewe akisimama kuongea na wana Dar es Salaam, wamchukulie vipi?
=======
Makonda (Salalah Allah wasalaam)Hata mitume na manabii hawakuwahi kutamka maneno hata. Heko watu wa Dar es salaam kwa kuwa na Mungu karibu yenu kupitia Makonda.
Mashehe, mapadre na wachungaji katafuteni kazi nyingine Dar sasa wakitaka toba au msaada wa Mungu watapitishia kwa Makonda kwani ndio njia rahisi maana alipo simama yeye hapo hapo ndipo alipo. Hili jambo litangazwe duniani na hakika ulimwengu utafurika hapa kuja kwa Makonda na nchi itanufaika kwa chanzo hicho kipya cha mapato
Ama hujasikiliza maneno aliyoyatamka Makonda kwa lugha ya Kiswahili au huna uwezo wa kuelewa. Watu kama wewe wasio na uwezo wa kuelewa jambo wapo wengi tu na sababu ziko nyingi zilizowasababishia tatizo hilo. Tafuta msaada haraka na kama utakuwa hujachelewa tatizo lako linaweza kushughulikiwa ukapona kabisa. Kwa ukumbusho tu haya ndiyo maneno ya huyo Makonda na nitakuomba uyasome tena...Mkuu HATUJUANI wala sijawahi kukutana naye.
Bali naangalia mambo kwa MAPANA na MAREFU! Kama wewe!
Ndio sababu yangu ya kuuliza hivi; akisimama Makonda kasimama mungu, je akisimama Magufuli? Wote wawili tunaelewa hawajaribiwi na wameonya sana kuhusu hilo. Ukweli pia ni kwamba hawalingani kwani moja alichaguliwa na mwingine kuteuliwa...sasa kama aliyeteuliwa akisimama mungu kasimama, je mteuzi akisimama? Lakini ukweli mchungu zaidi kwangu ni ukimya wa mteuzi kauli hovyo za kufuru kama hizi zinapotolewa.Wote ni miungu!
Please remember this, the spirit of a person/leader creates and permeates the atmosphere of his/her influence. So you can trace the exact roots to His Majesty who resides under the sun!
Video ipo hapo, makundi ya jamii yameonyesha kukasirishwa, leo unataka tuamini hakusema! pleaseMag3
Mimi na wewe hatukuweko wakati matamshi hayo yanayodaiwa kutamk.
Na kama aliteleza katika kutozi meneji emotions zake hapo ndo tuzungumze.
Nikikumbuka miaka miwili tuu iliyopita ni huyuhuyu ambaye pamoja na kulipwa per diem ya laki tatu kwa siku alikuwa na tuhuma chafu sana za kuiba simu za wajumbe wa kike wa Bunge Maalum la Katiba na akatetewa na issue kupotezwa na Mtu ambaye majuzi tuu baada ya kufariki ndio tunajua kuwa alikuwa baba yake mlezi baada ya kumuokota huko ajuako mwenyewe, basi nashindwa kuzielewa akili za mwanadamu apatapo kawadhifa ka kubebwa anakuwaje.Ama hujasikiliza maneno aliyoyatamka Makonda kwa lugha ya Kiswahili au huna uwezo wa kuelewa. Watu kama wewe wasio na uwezo wa kuelewa jambo wapo wengi tu na sababu ziko nyingi zilizowasababishia tatizo hilo. Tafuta msaada haraka na kama utakuwa hujachelewa tatizo lako linaweza kushughulikiwa ukapona kabisa. Kwa ukumbusho tu haya ndiyo maneno ya huyo Makonda na nitakuomba uyasome tena...
Makonda: Ardhi Kinondoni nitawashughulikia.., hadi mtajuta kuzaliwa..., mimi nikisimama hapa, amesimama Mungu..., sikuletwa hapa kwa bahati mbaya, nitawatia ndani wote, na hakuna mtetezi wenu, wewe mama ...kichaa...unanisikia, hauna wa kukutetea...
Wee jamaa ni mjingga sana, unastahili kuwekwa unapostahili. Hivi hujamuelewa kweli nini kamaanisha au umeweka mabonge ya barafu kwenye ubongo wako?Najua Makonda aliteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam. Najua pia kwamba Rais Magufuli aliyemteua Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, yeye mwenyewe alikatataliwa na wana Dar es Salaam. Sasa Makonda anapowataka wana Dar es Salaam wamtambue kama mungu na kwamba akisimama kuongea nao ni mungu kasimama...je mteuzi mwenyewe akisimama kuongea na wana Dar es Salaam, wamchukulie vipi?
Najua wengi hili jambo mnalichukulia kimatani lakini ukweli ni kwamba kuna aina mbili tu za watu wanaoweza kutoa kauli kama aliyoitoa Makonda. Ama ni mwathirika wa madawa ya kulevya au ni mwathirika wa ugonjwa wa akili. Mtu mwenye akili timamu hawezi kwa namna yoyote ile kutamka maneno aliyotamka Makonda. Hapa yabidi tujiulize kwa nini mpaka dakika hii mteuzi wake hajachukua hatua yoyote kutunusuru raia na kadhia hii?
Najua pia kumetokea si mara moja ama mbili tu Makonda, ameamrisha Jeshi letu la Polisi, kutii amri zake zisizo na uhalali wowote. Bila shaka haya yote yemewezekana kwa sababu Makonda akitamka, mungu katamka. Hii imewajengea wengi taswira kwamba kila anachofanya Makonda kina baraka za aliyemteua ambaye pia ndiye Jemadari Mkuu wa Taifa kikatiba. Sasa kama Makonda ni mungu, Rais Magufuli pia ni moja katika waumini wake?
=======
Kwa uwezo wangu mdogo niliojaaliwa na Mwenyezi Mungu,Wee jamaa ni mjingga sana, unastahili kuwekwa unapostahili. Hivi hujamuelewa kweli nini kamaanisha au umeweka mabonge ya barafu kwenye ubongo wako?
Sawa mzee ntalifanyia kaziMimi Baba yako niliyekusomesha nakuamuru uandike vizuri kama ulivyofundishwa na walimu
Nikikumbuka miaka miwili tuu iliyopita ni huyuhuyu ambaye pamoja na kulipwa per diem ya laki tatu kwa siku alikuwa na tuhuma chafu sana za kuiba simu za wajumbe wa kike wa Bunge Maalum la Katiba na akatetewa na issue kupotezwa na Mtu ambaye majuzi tuu baada ya kufariki ndio tunajua kuwa alikuwa baba yake mlezi baada ya kumuokota huko ajuako mwenyewe, basi nashindwa kuzielewa akili za mwanadamu apatapo kawadhifa ka kubebwa anakuwaje.
Huyu jamaa hakuwa mtu wa kutoa kauli za aina hii kama angekuwa anakumbuka asili yake.
amekosea bwana ht ukiwa nje ya box lzm umtafakariWatu wengine bwaana sasa na ww kwa akili yako umeichukulia cliac kabisa mpaka umeanza kumtangaza jaribuni kuwaza nje ya box acheni kutafacli kwa mtazamo hasi ujui kuwa ww ndio unaemtangaza kuwa ni mungu
Soon atachanganyikiwaJamaa ana akili za ajabu sana hata kuweza kujifananisha na Mungu. Cheo kimemtia wazimu huyu hata kujiona anaposimama yeye ni kama kasimama Mungu. Ana akili ya kushikiwa ya kuropoka kama cherehani matokeo yake kuongea maneno yanayotushangaza sana Watanzania wengi.