Najua kiimani mamlaka zote za duniani zatoka kwa Mungu. Hata hivyo, nadhani si mheshimiwa rais wala mkuu wa mkoa wa Dar anayeweza kudai kuwa akisimama yeye ni sawa amesimama Mungu.
Kwa nini? Kwa sababu Mungu ni mkamilifu wakati wote. Binadamu si mkamilifu, na hawezi kuwa mkamilifu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.