Hahahaha,mi nahis dem mwnye tattoo kibongo bongo lazma anakua na characters fulan fulan,yaan ameshindikanaMatakataka hayo mtu mwenye akili zake zinazomtosha anaanzaje kuchora tatuu. Mimi kuna manzi nilimpata week moja tuu nikasikia anasifia tatuu alizoona kwenye tv kesho yake nikapiga chini
Awe na tattoo asiwe nayo mimi wala sijali. Ilipo Chura ndipo macho yangu yalipo.
Same to,Sipendi mwanamke limbukeni kwanza ata upendo wake nakua na mashaka nao.Matakataka hayo mtu mwenye akili zake zinazomtosha anaanzaje kuchora tatuu. Mimi kuna manzi nilimpata week moja tuu nikasikia anasifia tatuu alizoona kwenye tv kesho yake nikapiga chini
[emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]hahahahahahhaha
weweeeee, nasikia ilipo chura na maji yapo
teh teh
unaenda wapi sasa?[emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
Nimepata kiu cha ghafla naenda kunywa maji[emoji39] [emoji12] [emoji40]unaenda wapi sasa?
Ile tatoo yako umeshaifuta?hakika huku JF kuna raha zake,
sasa mnataka nini jaman mbona mzinguo mingi?
mimi sio lori mkuu mimi benzi tena new modelIle tatoo yako umeshaifuta?
haya, hiyo kiu sababu yake ni nini?Nimepata kiu cha ghafla naenda kunywa maji[emoji39] [emoji12] [emoji40]
Angalie usije kuwa chid Benz mkuumimi sio lori mkuu mimi benzi tena new model
huwezi chorachora benzi hovyo hovyo wenye matatoo ni kama malori tu
teh teh
Jua kali bibie, palipo na jua hapakosi mwenye kiu[emoji40]haya, hiyo kiu sababu yake ni nini?
Hahaha wacha weeh, nasikia wachaga wanazaliwaga na tattoo ya hela kwenye moyo[emoji12] [emoji40] [emoji125]mimi sio lori mkuu mimi benzi tena new model
huwezi chorachora benzi hovyo hovyo wenye matatoo ni kama malori tu
teh teh
kwenye moyo labda maana mimi nikisikia harufu ya hela nageukaHahaha wacha weeh, nasikia wachaga wanazaliwaga na tattoo ya hela kwenye moyo[emoji12] [emoji40] [emoji125]
[emoji23] [emoji3] [emoji13] [emoji39] [emoji119]kwenye moyo labda maana mimi nikisikia harufu ya hela nageuka
teh teh