Akishakua na tattoo tu simtaki tena

Akishakua na tattoo tu simtaki tena

Napoleone

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2012
Posts
10,085
Reaction score
16,063
Wakuu,

Mnawachukuliaje wasichana wenye tattoo, kuna binti napiga nae stori hapa huku natype JF, ana tattoo shingoni na kwenye mkono, ila ni mzuri kinoma, ana shades zake nini, nimetoka mihangaiko hapa niko eneo flani nakunywa juice ya komamanga, kanikata stim kweli na haya ma tattoo.

Mimi na tattoo ni paka na panya hata kugegeda perfomance inapunguaga hata aweje, hata akiwa kama Jokate au Lulu diva.
 
Nilidhani ni mi peke yangu,but kama nikiona mtoto wa kike ana tatoo nahisi kama anahitaji kufanyiwa ukatili wa kingono.Sinaga mzuka nao kabisa.Nahisi ili nikubaliane na hiyo hali lazima nivae roho ya chui kiasi kwamba hata Niki do naye ninakuwa kama nambaka.Tatoo kwa mwanamke naiona kama joka lenye sumu lililopanda kwenye boneti ya gari kwa hiyo nitaenda speed mbaya ili nilichanganye na likijichanganya napiga tairi.
 
Hata mimi mkuu,kama ana tatoo amekula BAN
Hiv ushawai angalia porn zile ambazo hua ni official porn na zile znazokuaga home made,yaan mtu karekod tuu bila mwingne kujua wala bila matayarisho ,tam hua zile za home made yaan,hatar,..ndo the feelin iliyopo mi na madem wenye tattoo,hahaha,to me lakin
 
Matakataka hayo mtu mwenye akili zake zinazomtosha anaanzaje kuchora tatuu. Mimi kuna manzi nilimpata week moja tuu nikasikia anasifia tatuu alizoona kwenye tv kesho yake nikapiga chini
 
Back
Top Bottom