Akiona cha moto baada ya kuyumba kiuchumi

Akiona cha moto baada ya kuyumba kiuchumi

Idhae

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2014
Posts
609
Reaction score
277
Jamaa yangu mmoja wa karibu (jina nalihifadhi) yamemkuta. Ni mfanya biashara wa vifaa na vitu vya electronic, alianza uhusiana na binti mmoja wakati yuko secondary olevel, na kuanza kumwezesha katika safari yake ya masomo.

Binti kaingia advance then chuo (diploma) ya nursing. Baada ya kupata kazi jamaa kamuona na wana mtoto mmoja.Jamaa kafilisika, nyumba waliyokuwa wanakaa iko mbioni kupingwa mnada na taasisi za kutoa mikopa.

Sasa jamaa ana hali mbaya kwani mke aliyechangia kumsomesha kamkimbia kaenda panga chumba na hamtaki jamaa tena,ambaye kafilisika na,nyumba iko mbioni kupigwa mnada.

Yaani matatizo juu ya matatizo, nawasihi wanawake wawe na upendo na waume zao hata kama itatokea wafukuzwe kazi au wafilisike.

Mtusitiri jamani
 
Usisomeshe ndugu
 

Attachments

  • 1428304897247.jpg
    1428304897247.jpg
    20.2 KB · Views: 1,103
Mpe pole mwambia ndio mitihani ya maisha ilivyo na asivunjike moyo ajikaze kiume asonge mbele,hakuna dhiki wa dhiki...
 
PATA PESA MKEO AJUE TABIA YAKO, KOSA PESA UJUE TABIA YA MKEO. hahahahah!!!!! mpe pole tu.
 
Utakuta mdogo wake lasaba.b alafu mambo yoote kwa mwanamkee .naafilisike tuu.
 
unamsomesha kwani ndugu yako huyo!!!!? hizo hela bora ungeenda kuwekea heshima bar kuliko kusomesha mtu mmekutana njiani
 
Aisee kitanda usicholalia hujui kunguni wake. Inawezekana hata mkewe alishamuonya mara kadhaa juu ya tabia zake na walikuwa wana migogoro kwa sababu wanaume wengine akiwa na hela anateleza kama pweza.

Hashikiki, anatembelea dole gumba na yeye ndio yeye. Labda hadi anafilisika mkewe alishafanya maamuzi ya kumuacha. Binafsi sioni kama nyumba ina upendo, heshima na amani kwa nini mwanamke akimbie.
 
Aisee kitanda usicholalia hujui kunguni wake. Inawezekana hata mkewe alishamuonya mara kadhaa juu ya tabia zake na walikuwa wana migogoro kwa sababu wanaume wengine akiwa na hela anateleza kama pweza. Hashikiki, anatembelea dole gumba na yeye ndio yeye. Labda hadi anafilisika mkewe alishafanya maamuzi ya kumuacha. Binafsi sioni kama nyumba ina upendo, heshima na amani kwa nini mwanamke akimbie.

Bila pesa hakunaga hivyo vitu vitatu ndugu yangu, labda hukoo vijijini!
 
Ukimsomesha mwanamke we hesabu kuwa umemweka vizuri kwa faida ya watoto tu, siyo kwa faida ya familia nzima!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom