kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
sidhani kama kuna tafiti mahsusi juu hili.nafaham matajiri wetu wengi wa kitanzania kwa sabab wanazo zijua wao wenyewe hawapendi kuweka hadharani utajiri wao.
sasa kazi kwetu waana JF bila kusukumwa na fikra binasi/kisiasa tufahamishane matajiri wetu wanaoiendesha tz
kwa pesa na mali.
kwa wanaopenda kupata chanagamoto tembeleeni hapa The World's Billionaires - Forbes.com
sasa kazi kwetu waana JF bila kusukumwa na fikra binasi/kisiasa tufahamishane matajiri wetu wanaoiendesha tz
kwa pesa na mali.
kwa wanaopenda kupata chanagamoto tembeleeni hapa The World's Billionaires - Forbes.com