Akina-KINANA waliishia wapi?

Akina-KINANA waliishia wapi?

Zile ziara za mikoani za Sekretarieti mpya ya CCM zimeishia wapi? Au ndio sasa wapo mkoa wa televisheni? Nadhani ililengwa hasa Arusha...

Hapana... Katibu Mkuu KINANA kapata safari ya ghafla kwenda HONG KONG
 
hawana cha kuwaambia wananchi, waza ghafla umechukua nafasi ya kinana halafu ukapanda jukwaani halafu kuna halaiki iko mbele yako unafikiri utaiambia nini kipya na cha kutia matumaini? nimeona mikutano yao kadhaa kinana anasema chama oyee hakuna anaetikia watu wanamtolea macho tu, inatakiwa kuwa na uso wa mbuzi uliopitiliza kuendelea kufanya mikutano, pipo zimechoka mbaya.
 
Serikali ya wahuni wanaotegemea msaada wa wahuni wachache wanaohubili maafa kushinda uchaguzi, jambo linalopelekea

kushindwa kuwachukulia hatua wahuni kwa wanufaa ya wanzania wote na kuenzi kizazi cha watoto wetu, wajukuu wetu,

watukuu na vitukuu vya taifa la watanzania hapo baadaye wa imani zote. (vita ikiianza hakuna atakaesalimika sote tutakuwa matatani)

Kinana

Nape

Kikwete

Ponda

Farid

Ilunga

Hili kundi ndilo litakalo ipeleka Tanzania kuzimu, chini ya Chama cha mapinduzi.
 
Hivi hamna kazi za kufanya ila kuongea CCM tu! wambea kama ma anti!
 
We mleta mada hivi ulishwahi kupata aibu ya kuzomewa wewe?
sasa wenzio ndio hilo wanaloogopa. Siku hizi kama hawafanyi mkutano wa ndani basi wanafanya kwenye mikusanyiko ya watu kama vile stend (mbeya) au sokoni (iringa). We hujalijua hilo?
 
Zile ziara za mikoani za Sekretarieti mpya ya CCM zimeishia wapi? Au ndio sasa wapo mkoa wa televisheni? Nadhani ililengwa hasa Arusha...

.
Sisiem chama kinachojiendesha kwa matukio.
Mpango wao huu wa kina Kinana umeshindwa katika hatua za awali kabisa kama ule wa kina Mukama wa kujivua gamba.
.
 
ni suala la ratiba tu
wataendelea nayo soon
maelezo ya ziada tuyatake kwa Nnauye!!
 
Hawa watu walishaishiwa mara wanatoa leseni za wachimba madini utadhani wao ndio TRA badala watafute wanachama wanaingilia kazi zisizo zao kila wanapokwenda ni kuzomewa na wananchi hayooo hayooo Hayooo mpaka aibu wamekimbia hawana sera mbele mbele ya umma
 
Ameenda kugomboa container zake Hong Kong akimalizana kule na kufukia ile kashfa atarejea kwa kishindo ila kwa sasa atashindwa kusimama na kuwafokea watendaji maana wezi ndio wanaokuwaga wakali sana kwa wenzao huku wao wanaiba kama shambani kwa bibi
 
Hawawezi kufata nyayo za SIMBA (M4C) hata kidogo. Wataendelea kutumia TV kujiharibia zaidi.
 
Kinana yupi, au yule katibu mkuu wa chama tawala? Naomba nenda kwenye mbuga za wanyama mtafute yupo tu.
 
Hahaha! Mkuu umeniacha hoi sana hawa jamaa ukitaka kuona ngoja nikuambie utakapowakuta...Ruaha National Park,mikumi,serengeti,katavi,udzungwa mitaa hiyo lazima utawakuta wakina mjomba kinana na makontena yao...
 
Serikali ya wahuni wanaotegemea msaada wa wahuni wachache wanaohubili maafa kushinda uchaguzi, jambo linalopelekea

kushindwa kuwachukulia hatua wahuni kwa wanufaa ya wanzania wote na kuenzi kizazi cha watoto wetu, wajukuu wetu,

watukuu na vitukuu vya taifa la watanzania hapo baadaye wa imani zote. (vita ikiianza hakuna atakaesalimika sote tutakuwa matatani)

Kinana

Nape

Kikwete

Ponda

Farid

Ilunga

Hili kundi ndilo litakalo ipeleka Tanzania kuzimu, chini ya Chama cha mapinduzi.

wote hawa unatofautiana nao kitu kimoja
 
Ukipita mbugani (mikumi) na kuona kiatu cheusi,shati la njano lenye dama damu na bukta ya kijani basi usihangaike kuuliza.We jua tu kwamba hapo simba kapita na kumla jangili .Aliyenusurika utamkuta kibaha akiwatukana watu...(Hadithi hii inatufundisha nini? )
 
ile ilikuwa ni janja ya Kinana ili watu wabadili mtazamo na yeye apate nafasi ya kuu Tembo
 
Back
Top Bottom