Akina-KINANA waliishia wapi?

Akina-KINANA waliishia wapi?

Si walitupumbaza ili wapitishe ule mzigo uliokamatwa Hong Kong!!!!!??????
 
Wapo makini kupanga mbinu za kisayansi kuishinda M4D siyo kila hatua inatolewa hadharani, mengine yanaishia katika vikao vya ndani ya chama. Subiri 2013 uone KIMBUNGA CHA "NGUVU YA MUNGU"
 
wapo busy na akina Tuntemeke,Kisandu et al wanahujumu CDM!
 
Wapo makini kupanga mbinu za kisayansi kuishinda M4D siyo kila hatua inatolewa hadharani, mengine yanaishia katika vikao vya ndani ya chama. Subiri 2013 uone KIMBUNGA CHA "NGUVU YA MUNGU"

walingia mbio mbio kwenye marathon pumzi fupi wameishia kuzomewa, aibu kwelii
 
We mleta mada hivi ulishwahi kupata aibu ya kuzomewa wewe?
 
Zile ziara za mikoani za Sekretarieti mpya ya CCM zimeishia wapi? Au ndio sasa wapo mkoa wa televisheni? Nadhani ililengwa hasa Arusha...

Wapo hujasikia kuna shehena ya pembe za ndovu zimekamatwa tena hongkong, pia wako kwenye biashara ya kununua vingozi na wafuasi wa chadema maeneo mbalimbali! Hizo kazi za kijangili na anaziweza Kinana, hawana jipya!
 
Hallow , unataka Kisukari cha mtu kiamke nini ? Kutoka kupigiwa salute hadi kuzomewa ! Bado unataka aendelee ? Hata ningekuwa mimi ningetokomea !
 
Wapo makini kupanga mbinu za kisayansi kuishinda M4D siyo kila hatua inatolewa hadharani, mengine yanaishia katika vikao vya ndani ya chama. Subiri 2013 uone KIMBUNGA CHA "NGUVU YA MUNGU"

Nguvu ya...??? My foot
 
wanaomboleza mkakati wao dhidi ya cdm umebumbuluka na masalia yapo kwenye hatihati kutemwa na kushitakiwa mahakama ya rufaa(najua wanasheria mtavunjika mbavu kwenye red hapo)
 
Aaaaaaaah, nimecheka mbavu zinauma jamani, weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Wao hawapo kwa ajil ya kuimalisha chama, bali kuzima moto wa CDM na wengineo, kwahiyo jamaa wakitulia na wao wanatulia, wengne wanaendelea na biashara ya pembe za ndovu, wengne wanatupa majungu kwa Dk Slaa, wengne wanawanunua vijana CDM, na wengine wanaenda serengeti kupumzika.

Sijui kwenye tv watasemaje, na nan atakuwa mzungumzaji.??

Mi naamin ni anguko lao jingine linakuja, mana nikikumbuka kipind cha Tido Mhando, midahalo ya 2010 TBC, Sipat picha..!!
 
Back
Top Bottom