Akina Dada na kupenda vitu vya kupewa!

Akina Dada na kupenda vitu vya kupewa!

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,254
Akina dada kwa KUPENDA VYA KUPEWA mh! ckia HII
Jamaa: Sweetie otea nimekununulia zawadi gani ya birthday?
Demu: Oh jamani sweetie umeninunulia nini?
Jamaa: Unakumbuka ile RAV4 uliionaga ukaipenda sana rangi yake?
Demu: Woooow honey! oh my God! Umeninunulia ile??! I luv u so much!!
Jamaa: Hapana nimekununulia mswaki una rangi kama ile.
Dem: Lione ka senge.
 
Kwani zawadi nayo unai-judge.... Kwahivyo wewe ukiwa unaletea boxer na mwanamke wako kwa upendo tu,tu-conclude kwamba hupendi kuutunza utupu wako...wapenda kupewa tu?!!!!. Hebu uko..
 
Kwani zawadi nayo unai-judge.... Kwahivyo wewe ukiwa unaletea boxer na mwanamke wako kwa upendo tu,tu-conclude kwamba hupendi kuutunza utupu wako...wapenda kupewa tu?!!!!. Hebu uko..

Heart usikute yamekukuta si muda mrefu? :A S wink::A S wink::A S wink:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom