Maisha ya kutoolewa na bado ukawa sio mzinzi yanawezekana tu kwa watu wanaojua Mungu vizuri, wanaofunga na kufanya ibada kikamilifu kwa watu imani ya kikatoliki viongozi wake wa dini kama mapdri, masista, maaskofu, huwa hawaoi na sio wazinzi lakini kwa mwanamke wa kawaida ambaye sio mtawa(sista wa kikatoliki) hakiishi maisha mazuri ya ucha Mungu hawezi akafikisha miaka 30 yupo nyumbani atakuwa amekwishaolewa.