Akiba ni saccos sio benki
kweli kabisa!! haina mnada mrefu itakufa!Akiba ni saccos sio benki
kwani kuna ubaya gani tukiifananisha na Saccos?Akiba si Saccos hapo nakataa,vodacom inakataga network siku nzima,nayo ni Saccos?
akiba = saccos!sio kweli acb ni moja kati ya benki zinazotoa huduma nzuri na wanawajali sana wateja wao lakini leo wanasema wamepata tatizo la umeme lililoathiri huduma zao.. Hata hivyo wameahidi kuwa kesho mambo yatakuwa shwali!
Hadi sasa no network niko kwenye ATM yao hapa Banana natumbua macho tu na mafuta sina