Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,196
Unene pia unatakiwa uwe na viwango. Raha ya pale mahali kuwe kuna free movement na si tight kiasi cha kusababisha michubuko. Sidhani kama unene sana na wenyewe unalipa. Kitu average ndo kina raha wote mwanaume na mwanamke. Labda ukutane na shimo la hatari.issue kubwa hapa ni urefu na sio upana wajemeni! wengi wanashindwa kuelewa. si mnaona wahusika wenyewe wanajua tatizo liko wapi