ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
'Mwenzangu nimeshindwa mimi. tatizo sio ukubwa, shosti jamaa anayo ndefu, imepitiliza yaani wakati wa majambo ni maumivu tu na ukilia mwenzio ndo anaongeza kasi. Nimeshindwa kila nnapo mwambia anadai nivumilie. Hapo sijaolewa itakuwaje nikiwekwa ndani. Akhaaaa babu ndoa naipenda ila, mmhhhhhhh! Kwa mwendo huu mwenzangu hadi uzeeni hii 'K' unadhani itakuwa ile ile tena, si itakuwa kitu kingine kabisa! Nimeshindwa mimi mwenzangu'.
Mie chumbani kwangu nkabaki natabasamu baada ya kuwa nimejifunza kitu hapo. Kumbe sio kila kilio cha mahaba kinaendana na raha, vingine ni vya maumivu jamani, mweeeeee!.
My take: jamani wanaume wakati mwingine muwe mnasoma alama za nyakati pindi hivi vilio vya mahaba vinaposikika toka kwa hawa dada zetu..
Mie chumbani kwangu nkabaki natabasamu baada ya kuwa nimejifunza kitu hapo. Kumbe sio kila kilio cha mahaba kinaendana na raha, vingine ni vya maumivu jamani, mweeeeee!.
My take: jamani wanaume wakati mwingine muwe mnasoma alama za nyakati pindi hivi vilio vya mahaba vinaposikika toka kwa hawa dada zetu..