makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,804
- 103,802
Poa poa kaka.Anhaa sawa. Ila Fat zina shida moja ya kujizima na hii ishu hua inaenda kwa hatua, huanza kujizima na kujiwasha kisha hufikia inablink taa nyekundu ndiyo inakuja ya kijani kisha inakuja inaanza kublink ya njano ndiyo inakuja ya kijani.
Kisha inakuja inakua inabaki ya njano tu. Ikifika hapo hakuna chochote utafanya kuifufua.
Kama tatizo ni hilo nililosema bro itengeneze iuze. Coz ukiitengeneza haitamaliza mwaka itaanza tena.
