Akaa Wangoni na Wapare akuu

Akaa Wangoni na Wapare akuu

Dada moja ananiabarisha hapa ofisini. Akimaanisha atoi sikio lake kusikiliza nyimbo za hawa wanaume wa makabila tajwa hapo juu.
Sikia ananitaja jina. Hawa watu kuwaruka viunzi vyao yaitaji akili ya ziada. Mngoni kwanza anakuja na ngonjera akishidwa anakuja na style ya kuonga hapo yupo radhi aonge atakavyo mwisho wa siku lazima afanikiwe. Halafu hawa Wangoni wash... anatukana kidogo. Anaweza tembea na Mtoto wa Mama, Mama mwenyewe na house girl bila kutambuana.
Sasa hawa wapare sitaki hata kuwasikia. Wanajua kubembeleza hata nyimbo za Celion Dion zinaweza kuonekana azifai. Akiona mafanikio hafifu hitimisho lake anamwaga chozi kabisa. Wadau kuna ka ukweli wowote
Yaani huyu akikutana na mimi namtajia jina la kichaga halafu atajuwa kabila baada ya kupiga migegedo kadhaa... Sasa kwa masalakazi na maulemavu nitakayomwonyesha atajiuliza mara tatu tatu kuniacha
 
... Nina hakika wapare ... can realy cry to get the thing mtu asinbishie ...inagwaje naona its cryzy why should yuo!! CHOZI? Under na dead body!!!

Passion Lady
 
Last edited by a moderator:
MNAWAOTA SANA WANGONI!
kitu laaadha bana!
MNAKOMAJEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!
MTUWAAAAAAAAAAAAAAAAACHE!
kaka zangu wa kingoni kina kadoda 11, Mzee tupatupa Mzee mwana kijiji (stori zake si mwaziona lakini huwa hambandukagi pale kaaati )ahahahahhahha
wapi Petro .e. mselewa , Chimunguru Mkoroshokigoli cha kuuuonea aibu ungoni wako nini?mutuwache na maladha yetu!ala!
 
Last edited by a moderator:
ogopa wapare wewe mwisho wa wote, unajikuta unakufa huku unacheka
 
hayo mambo y ukabila yamepitwa na wakat cku hz inategemea na malez 2 n c vngnvy.
 
kwa wangoni nakubali 100% ila kwa wapare nakataa... vifupi nyundo vile vimpate nani?
Hahaaaaaa..... yani umenichekesha! Kwani wapare sie wafupi?
Alafu mada zingine bwana.....
 
kwenye ajali ya gari hasa basi la abiria kama limeanguka. Wewe wachukue majeruhi wote wapange mstari. Alafu tafuta ngua ya ndani kabisa ya wanawake yaani ch.pi
Pitisha puani kwa majeruhi wote wanaume, atakaye piga chafya ujue huyo mpare.
 
Ni kweli wangoni hawajatulia hata kidogo!! Full kuruka njia

Kama we si mtani wa WANGONI nakuambia acha upumbavu.ukiluka njia ni tabia ya mtu kanda ya ziwa mke mhaya aliogopeka kakinisasa bora mhaya kuliko msukuma
 
Mtoa mada tuombe radh wazee wanyumbii bombii.

Keli mapunda,maguluwe,machui,mafaras,komba. alijuaje?. inaelekea ni bingwa wa kuonja huyo anazijua ndefu,fupi,nene,nyembamba,moto.baridi.huyo ni KAHABA,MARAYA.CHANGU
 
Tumesha wazoea kidogo WANGONI hamjui kuwa cc ni mabingwa wa vita tutalianzisha ohoo mmesahau majimaji? WANGON ote tucheze ngoma yakwetu hayatwende Natukanwa mie eeee, nikikaakimya mwaanza kunisenkenya ndandintikinyantikinyantikinyantikinyantikinya.
 
Mimi nikimtaka demu wa kingoni natoka naye tu na kumpa kilaji cha kiushkaji akishapata stimu naimbisha kitu na dakika 10 zijazo nakuwa nakula kitu mahali bila hata ya kupoteza nguvu nyingi !

Mngoni akishapata kinywaji kidogo tu , kwishaaaa kazi !
na mrivyo wabahiri
 
Haya majukwaa ya huku matamu sana full kucheka. Sijui niache siasa nihamie huku wadau wangu.
 
Mimi nikimtaka demu wa kingoni natoka naye tu na kumpa kilaji cha kiushkaji akishapata stimu naimbisha kitu na dakika 10 zijazo nakuwa nakula kitu mahali bila hata ya kupoteza nguvu nyingi !

Mngoni akishapata kinywaji kidogo tu , kwishaaaa kazi !

Kwa bahati mbaya tabia hizi kwa wangoni ni za wanaume tuu. Siyo wanawake. Kama unabisha mjaribu kidoti au fina mango.
 
Kuolewa na mgoni ni bora uitwe mgumba hahahaahahah kuna jamaa yangu mngoni ni dr.an watoto sita nje na mkewe wa ndoa ana watotot wawili halali bila k ,hanywi bar ambayo haina guest house hata baamedi ni halali yake ni dr mnh anakula mpaka wagonjwa lol mngoni akuuuuu hao wapare ogopaaa wahuni alafu akikuoa na ndugu wooooooooooooooooote kijijini mtaishi nyumba moja wanahamia hata kama ni 1room
 
Back
Top Bottom