Akaa Wangoni na Wapare akuu

Akaa Wangoni na Wapare akuu

Na wanaume wa kinyamwezi wakoje wakuu? Kuna binamu yangu alimsimulia mke wangu kuwa amempata mnyamwezi ila bado at very base stage? Sasa hebu tupeni ndogondogo hapa.
 
Kuolewa na mgoni ni bora uitwe mgumba hahahaahahah kuna jamaa yangu mngoni ni dr.an watoto sita nje na mkewe wa ndoa ana watotot wawili halali bila k ,hanywi bar ambayo haina guest house hata baamedi ni halali yake ni dr mnh anakula mpaka wagonjwa lol mngoni akuuuuu hao wapare ogopaaa wahuni alafu akikuoa na ndugu wooooooooooooooooote kijijini mtaishi nyumba moja wanahamia hata kama ni 1room

Hao wapare hawaachi ndugu nyuma akija mmoja kijijini kwenu mwaka mmoja tu utakuta wanatawala kijiji maana watazalisha wanawake mpaka basi.
 
Duuu wangoni wanapakaziwa sana kwa wema wao na kuwajali na kuwaenzi akina mama....lakini avumaye baharini si papa tu! wengine wengiiiii tu wapo na wakali kuliko hao wanaopakaziwa.
 
ivi ndomana wanapenda sana kutamka mambo ya ndani hadharani au yayohusiana na faragha...kuna Mkuu wa Taasisi moja ye anajiita Rais wa hiyo taasisi ipo Mji kasoro Bahari(Moro)unashuka KOLA afu unapanda kuelekea kule juu ye akili yake huwa imegota huko tu kwa waliopita hapo watakuwa wananisoma na watakubaliana na mimi.
 
Ngoni ze best wanajua ku2nza,kubembeleza na kumpa haki yake mwanamke akinata lazma akamcmulie rafik,au hata mama yake kuwa huku napata utamu kunoga---
 
mmmh cku hizi kila mtu ana staili ya kutongozea, wala haijalishi kabila gani anatoka. Wahehe pia ni wazuri sn ktk kulia wakiwa wanatongoza but care ni ziro

Ndugu tutake radhi wahehe sie hatuko na hizo sifa labda unaemsema ni rimiksi
 
Na wanaume wa kinyamwezi wakoje wakuu? Kuna binamu yangu alimsimulia mke wangu kuwa amempata mnyamwezi ila bado at very base stage? Sasa hebu tupeni ndogondogo hapa.

kwani ukijitaja kuna ubaya gani hadi usingizie ndugu yako !!??
 
kwani ukijitaja kuna ubaya gani hadi usingizie ndugu yako !!??

Huko nilishatoka siku nyingi kabisa mkuu, ninaitwa mzazi na wajukuu karibia wanakuja. Kwa mantiki hiyo nilishamaliza kazi ya kutafute mwenza. Ni kweli kuna ndugu yangu amepata mnyamwezi na hatujui sana sifa zao. Kuna watu wengine hapa jamvini kwa heshima zetu hatusemi uongo. Nikitaka kusema ni mimi nitasema kwa kuwa hii ID ni fake tu!!!
 
Back
Top Bottom