Awe wazi tu, hakuna jinsi, hospitali watapima then watatoa report. vifo vya ghafla vinatokea. kwenye mambo kama hayo kuna kuua bila kukusudia. kuna kesi moja jamaa alimbana sana mwanamke wakati anafurahia tendo la ndoa kumbe alishindwa kupumua akafa lakini jamaa alishinda kwani kesi ilikua manslughter, zipo kesi nyingi za namana hiyo. watu kuwa wapenzi ni jambo la kawaida si lazma ndugu zake wajue. ila akikimbia atakamatwa, aendev kwa mjumbe na vyomob vya dola basi