Ajisaidie vipi jamaa?

PSYCHOLOGY

Senior Member
Joined
Feb 10, 2011
Posts
177
Reaction score
14
Habari members JF!
Jamaa anae demu wake lakini demu hajulikani kwao wala jamaa hajulikani kwao na demu!
Wamelala usiku asubuhi demu ametoka roho(amekufa) sasa jamaa hajui anmpeleka wapi huyo demu na atatoa maelezo gani?
Usalama wake jamaa ukoje?
Anahisi atawekwa kizuizini hadi ukweli ujulikane juu ya kifo cha demu wake.
Anasaidiwaje wanajamvi wa JF?
 
Aiseee huyo jamaa atawajibika directly!!
 
Awe wazi tu, hakuna jinsi, hospitali watapima then watatoa report. vifo vya ghafla vinatokea. kwenye mambo kama hayo kuna kuua bila kukusudia. kuna kesi moja jamaa alimbana sana mwanamke wakati anafurahia tendo la ndoa kumbe alishindwa kupumua akafa lakini jamaa alishinda kwani kesi ilikua manslughter, zipo kesi nyingi za namana hiyo. watu kuwa wapenzi ni jambo la kawaida si lazma ndugu zake wajue. ila akikimbia atakamatwa, aendev kwa mjumbe na vyomob vya dola basi
 
Atoe taarifa polisi maiti itolewe atafanya nayo nini sasa??
 

Mambo mengine kama ya kujitakia vile
Hapo hana jinsi si alipewa raha na marehemu
 
...akiamua kumpeleka hosp akamwache huko itakua salama kwake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…