0036 savage
Senior Member
- Apr 30, 2019
- 190
- 237
Kuna agenda sjui maelekezo sikuiz ajira zimekuwa ni lazma wanawake waajiriwe weng kuliko wanaume hata kama huko kwenye kaz sio watendaji wazur had kaz ngumu madem wanapewa sana ajira yan imefikia kipind ukiwa kwenye (interview) na madem bas unajua kabisa utoboi nina kama wik tatu naona madem weng bandarini wamepata ajira.kuna meng ya kuoji walifanya usahil lini na walitangaza lini hizo nafasi lakin madem ni weng mnooo nimeona washikaj kama wanne madem kama 30 hili linanifanya niwe na waswas kuhusu kulazimisha 50/50; sasa itakuwa 95/5 mda sio mrefu hili limezid kwakwel.