Ziltan
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 2,645
- 6,821
Naombeni kueleweshwa kuhusu taarifa zilizosikika kwenye vyombo vya habari kuhusu ajira 23,000 za walimu kuwa wataajiriwa kwenye bajeti ya mwaka 2012/2013,
je ni za hawa 23700 walioahidiwa kuajiriwa kuanzia trh 15 nov 2011 ndio wamesogeza mbele na kupunguzwa au?
je ni za hawa 23700 walioahidiwa kuajiriwa kuanzia trh 15 nov 2011 ndio wamesogeza mbele na kupunguzwa au?