Ajira za walimu

Ajira za walimu

Nimesikia wazir mwenyezamana kasema hivyo juz Dodoma alipokua anawaapisha wakurugenz wale 13.sina hakika lakini
 
natamani hao wakuu watoe tamko rasmi ili hizi tetesi zikome mana zina zidi kuchanganya wahanga wa ajira.
 
Chawene kasema ajira zipo ila hajasema mda
 
Hata sitaki kujifariji na hizi habari ngoja nikomae na yangu nisijbweteka kama mwanzo niishie kupoteza muda bure.
 
Nimesikia wazir mwenyezamana kasema hivyo juz Dodoma alipokua anawaapisha wakurugenz wale 13.sina hakika lakini
Mkuu kasema mwez nov.wakurugenzi watume maombi ya watumishi naowahitaji...ninavoona mm hapo ajira hadi mwakani.
 
Ajira rasmi mwezi november
Sasa kama november,wakt dec shule zinafungwa huoni kwamva inshu ni mwakani jan or Feb,wameshiba hao hawamjui mwenye njaa,but nitashangaa 2020 kura tutawapa na kusahau msoto wote huu,poleni,tulipowaambia mchague chdm,mkatuona wajuzi leo mnakubali kimya kimya
 
Back
Top Bottom