Ajira za walimu zimepotelea wapi?

Ajira za walimu zimepotelea wapi?

mom abe

Member
Joined
Jun 13, 2024
Posts
23
Reaction score
22
Huu mwaka umekua mgumu kwa sisi walimu, tumeteseka sana kisaikolojia, toka January to December, tunasubiri ajira, japo tunajua hatuwez kupata wote ila tunatamani kuona hata hao wachache waajiriwe, ila hadi Leo mwaka unaisha hatuelewi interview itakwepo au laa, tunapeana tu propaganda mara, Tamisemi mara sekretarieti,wanatuumiza sana, wangetuweka wazi tu, roho zitulie
 
Huu mwaka umekua mgumu kwa sisi walimu, tumeteseka sana kisaikolojia, toka January to December, tunasubiri ajira, japo tunajua hatuwez kupata wote ila tunatamani kuona hata hao wachache waajiriwe, ila hadi Leo mwaka unaisha hatuelewi interview itakwepo au laa, tunapeana tu propaganda mara, Tamisemi mara sekretarieti,wanatuumiza sana, wangetuweka wazi tu, roho zitulie
Cc Mpwayungu Village
 
Huu mwaka umekua mgumu kwa sisi walimu, tumeteseka sana kisaikolojia, toka January to December, tunasubiri ajira, japo tunajua hatuwez kupata wote ila tunatamani kuona hata hao wachache waajiriwe, ila hadi Leo mwaka unaisha hatuelewi interview itakwepo au laa, tunapeana tu propaganda mara, Tamisemi mara sekretarieti,wanatuumiza sana, wangetuweka wazi tu, roho zitulie
hilo jambo limekaa kisiasa zaidi,tunasubiri chaguzi za mwakani tena halafu tutatoa tangazo hakutakuwa na usaili tena wale wachache mtapita bila kupingwa ili mama apate kiki
 
Huu mwaka umekua mgumu kwa sisi walimu, tumeteseka sana kisaikolojia, toka January to December, tunasubiri ajira, japo tunajua hatuwez kupata wote ila tunatamani kuona hata hao wachache waajiriwe, ila hadi Leo mwaka unaisha hatuelewi interview itakwepo au laa, tunapeana tu propaganda mara, Tamisemi mara sekretarieti,wanatuumiza sana, wangetuweka wazi tu, roho zitulie
Tatzo wanatangaza ajira alafu inachukua longtime, kama walikuwa hawajajipanga wangeacha kwanza
Sio kila wakati mtu anawaza kitu ambacho hakipo
 
Na nyie walimu sindo uwa mnashirikiana na CCM kuiba kula za wananchi

kila mtu abebe mzigo wake nendeni kwenye ofisi za Ccm mkalalamike

Walimu mnatumika km kondomu tu ukiwa unaenda mechi kondomu inakaa mfuko wa shati tena inatunzwa vzr ila baada ya Mechi kondomu inatupwa chooni au kichakani sasa ndo nyie walimu
 
Tatzo wanatangaza ajira alafu inachukua longtime, kama walikuwa hawajajipanga wangeacha kwanza
Sio kila wakati mtu anawaza kitu ambacho hakipo
Shida ndo hii kuvurugana tu akili kwan wangeacha kutangaza ss tungewafanyaje?
 
Na nyie walimu sindo uwa mnashirikiana na CCM kuiba kula za wananchi

kila mtu abebe mzigo wake nendeni kwenye ofisi za Ccm mkalalamike

Walimu mnatumika km kondomu tu ukiwa unaenda mechi kondomu inakaa mfuko wa shati tena inatunzwa vzr ila baada ya Mechi kondomu inatupwa chooni au kichakani sasa ndo nyie walimu
Ss hatujawahi kutumika hvyo hao ni wenzetu waliopo kwenye system
 
Back
Top Bottom