ni kweli kuna assistant lazima upate kwa upande wangu nying zilikua za ushauri kwa waliotangulia kufanya kile nilichokua naanza ila kifedha kwa kweli nilipambna mwenyew hata kupata connection zote nlipambnaHongera![]()
. ila jua kuwa hakuna mtu aliyeanza kujiajiri Bila assistance

bwana mdogo sijawahi kuwezeshwa hata senti tano na ndugu wala mzazi wala serikali wala jamaa yoyote na nmetokea kwene familia yenye umaskini wa kutosha sanaaaa but now nimejiajiri vizur kabisa bila tatzo nadhani ingekua busara ukauliza niliweza vipi katika nchi hii iliyojaa vikwazo kuliko ulichofanya