Abuwhythum
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 838
- 496
- Thread starter
- #41
Mwaka wa fedha ulioisha haujaajiri! Sijui na huu utaunganishwa? Maana haifahamiki bajeti ya ajira kwa mwaka wa fedha ulioisha ilitumika vipi, na hapa ndo tunakaribia nusu ya mwaka huu wa fedha.